Twyn
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 993
- 550
Daahh siwezi pata mawasiliano yake kabisa nje na hapo jamenii
Labda nenda ofice za uhamiaji ilio karibu nawe huko arusha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daahh siwezi pata mawasiliano yake kabisa nje na hapo jamenii
Shukrani sana,na huo uzi emu share link kidogo nikipate madini ukoSijajua,ila nadhani inakubali maana niliona kwenye uzi fulani mtu katuma maombi bila kuwa kapitia JKT.
Unatakiwa ujue ilo,viongoz wakubwa wote wana fatiliwa,kwa maslahi mapana ya nchiUnamaanisha kuwa huwa wako traced pia?
Hatari sanaHivi cheti Cha Short course unaweza ombea kazi kwenye hizi nafaasi zinazotolewa
Nyie wastaafu ndo kuna watu wenu mmewaacha kwny vitengo humo mkuu.Mstaafu mimi.
Hiv inatokaMara paaap nimejiona pdf ya pili [emoji28][emoji28][emoji28]
Kuna walioitwa usailini ngoja tuoneHiv inatoka
OkKuna walioitwa usailini ngoja tuone
So kuna majina yataongezeka sio
Nafikili swali halijakaa sawa mkuu liweke sawa unamaanisha nn?Hivi kwa upande wa magereza course gan nzurii ya degree mtu anawezasoma
Degree 13 sijui ni kada gani wameitwaVijana wazalendo CCP leo ndiyo mwisho kuripoti msisahau.
Wale mlioitwa kesho MM Dodoma Mwenyezimungu awatangulie.
Wale baba k nao Mungu awazidishie.
Soma kozi hata ukistaafu itaendelea kukusaidia uraiani,usilisomee jeshi,jeshi halina mtu muhimu.
Vipi kesho pia wanaweza fanya mchujo mkubwa kakaVijana wazalendo CCP leo ndiyo mwisho kuripoti msisahau.
Wale mlioitwa kesho MM Dodoma Mwenyezimungu awatangulie.
Wale baba k nao Mungu awazidishie.