hosny diab
Member
- Oct 16, 2021
- 58
- 6
Niaje broVipi kesho pia wanaweza fanya mchujo mkubwa kaka
Uliitwa hizi za Dodoma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niaje broVipi kesho pia wanaweza fanya mchujo mkubwa kaka
Uhamiaji mbona wanachanganya vijana sasa yale majina ndo mwisho pale
Kwa idara makini kama ile uhamiaji hawawezi kutoa majina ovyo vile yani inakuwa kama hakuna vijana IT wenye kuweka majina vyema , pia kutoa taarifa sahihi kuwa haya majina kadhaa ni ya namna gani ila mengi yatakuwa kwa namna hii, bora mdogo wangu asinge omba maana naona chenga tuUhamiaji wamefanya uhuni tuu aisee...
Baba k bado wanakula upepoVijana wazalendo CCP leo ndiyo mwisho kuripoti msisahau.
Wale mlioitwa kesho MM Dodoma Mwenyezimungu awatangulie.
Wale baba k nao Mungu awazidishie.
Wana mda wao sio [emoji3][emoji3]Bado wale,ila watazama tu,ngoja wengine wafyeke fyeke waweke mazingira vizuri wajile kidogo ndiyo wale wanaibuka tu,maisha haya bwana hayafanani kabisa
171 walioitwa
Degree 13
Diploma 3
Waliobaki cheti
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Hawa ni polisi walioitwa usaili dodoma keshoHawa ni jeshi lipi..,?
Sawa mkuuMwaka jana waliajiri askari wengi tu.Ila bado uhitaji upo,zaweza kuwa hizo 48 ni za utangulizi tu alafu baadae zikaja za rangers wengi..
Wameitwa 171 mkuuHivi wameitwa wangapi?
Wadau fire wanachukua maximum wangapi kila mkoaWameitwa 171 mkuu
Daah ndio maana basi hata application yake inataka uvumilivuPCCB na TISS ni sawa na mgonjwa wa uviko19 na mtungi wa oksjeni..
Wote wapo Utumishi na Utawala bora wakiripoti kwa Katibu Mkuu Kiongozi Magogoni/Chamwino..
Mafunzo popote pale wanafanyia iwe ni CU Kimbiji ama CCP au popote pale bado hawana chuo chao..
Mafunzo ya kijeshi ni yale yale ila hawa wanakaa sana darasani na utimamu wa mwili kama kusukuma ardhi,mbio,kareti na matumizi kidogo ya silaha nyepesi (handgun/smg)..
Hawa usaili wao utakuwa chap tu waende wakaungane na wenzao kule Moshi..
Walioripoti sasa hivi wanakula fimbo tu kwasana,wanalia kama watoto..
Ila watatoboa tu kozi wanaweza kupiga miezi 6 tu badala ya 9 ili wapishe intake nyingine 2 chap..
Ukiclick submit Mzigo unazunguka muda mrefu hadi unaanza kuogopa [emoji1787]Daah ndio maana basi hata application yake inataka uvumilivu
Kama nia hauna ni ngumu kuapply [emoji28][emoji28][emoji28]
Shukrani mkuu