Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Uhamiaji wamefanya uhuni tuu aisee...
Kwa idara makini kama ile uhamiaji hawawezi kutoa majina ovyo vile yani inakuwa kama hakuna vijana IT wenye kuweka majina vyema , pia kutoa taarifa sahihi kuwa haya majina kadhaa ni ya namna gani ila mengi yatakuwa kwa namna hii, bora mdogo wangu asinge omba maana naona chenga tu
 
Kuna mdau huku alituambia kuna mkeka mwingine tarehe 30, hiv bado anamsimamo uleule?
 
Hivi PCCB ni taasisi kama TISS au vipi?
Wanafanya training wapi?
Na mafunzo yao yapoje na kwa muda gani?
 
PCCB na TISS ni sawa na mgonjwa wa uviko19 na mtungi wa oksjeni..

Wote wapo Utumishi na Utawala bora wakiripoti kwa Katibu Mkuu Kiongozi Magogoni/Chamwino..

Mafunzo popote pale wanafanyia iwe ni CU Kimbiji ama CCP au popote pale bado hawana chuo chao..

Mafunzo ya kijeshi ni yale yale ila hawa wanakaa sana darasani na utimamu wa mwili kama kusukuma ardhi,mbio,kareti na matumizi kidogo ya silaha nyepesi (handgun/smg)..
Daah ndio maana basi hata application yake inataka uvumilivu
Kama nia hauna ni ngumu kuapply [emoji28][emoji28][emoji28]
Shukrani mkuu
 
Hawa usaili wao utakuwa chap tu waende wakaungane na wenzao kule Moshi..

Walioripoti sasa hivi wanakula fimbo tu kwasana,wanalia kama watoto..

Ila watatoboa tu kozi wanaweza kupiga miezi 6 tu badala ya 9 ili wapishe intake nyingine 2 chap..

Duh kuna fimbo tena..??
 
Daah ndio maana basi hata application yake inataka uvumilivu
Kama nia hauna ni ngumu kuapply [emoji28][emoji28][emoji28]
Shukrani mkuu
Ukiclick submit Mzigo unazunguka muda mrefu hadi unaanza kuogopa [emoji1787]
 
Mwenye Lonja ya magereza atupe wazee....maana duh jamaa sijui wanayafanyia nini hayo majina [emoji849][emoji849]
 
Back
Top Bottom