Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hawa usaili wao utakuwa chap tu waende wakaungane na wenzao kule Moshi..

Walioripoti sasa hivi wanakula fimbo tu kwasana,wanalia kama watoto..

Ila watatoboa tu kozi wanaweza kupiga miezi 6 tu badala ya 9 ili wapishe intake nyingine 2 chap..
Kwaio kutakuwa na intake ingine tena baada ya hhii
 
kusubiria ajira za polisi ni kujitafutia umasikikni sio za kutegemea sana
Hahahahahaha degree 97/668....Degree tuna tabu asee,571 hizi zote ni Shahada zipo mtaani,asee Vijana tunateseka Sana.
Ila CCM chama changu kiliangalie hili,hali sio shwari
 
Hawa usaili wao utakuwa chap tu waende wakaungane na wenzao kule Moshi..

Walioripoti sasa hivi wanakula fimbo tu kwasana,wanalia kama watoto..

Ila watatoboa tu kozi wanaweza kupiga miezi 6 tu badala ya 9 ili wapishe intake nyingine 2 chap..
Mkuu Fimbo kama za shuleni au ?
 
Mimi ndo huwa sielewi kabisa maana naona utaratibu ni waovyo sana kupata vijana wa majeshi chini ya mambo ya ndani, kwanini wasi tumie muda mchache kupata vijana Hadi Longo Longo zinakuwa nyingi sana
 
Mimi ndo huwa sielewi kabisa maana naona utaratibu ni waovyo sana kupata vijana wa majeshi chini ya mambo ya ndani, kwanini wasi tumie muda mchache kupata vijana Hadi Longo Longo zinakuwa nyingi sana
Mnafany usaili mar mbili mbili
 
Yani hata kama uko na vigezo vya kutosha kabisa
255743388685_status_0d1cf15356554de8a4104a4d7e216741.jpg
 
Hahahaha hadi sasa watu kama 10 wamesema kazi za PCCB wanaachana,uvivu kufanya process hahahahah
 
Back
Top Bottom