Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna niniBakabaka kumekucha uko
Tupe lonja kamandaBakabaka kumekucha uko
sawa sawa mkuu nimekusoma vzr sana.Wale wa jeiyuii kaeni mkao wa kazi, kabla ya December 24 mnatakiwa muwe mzigoni.
Walionielewa wameshanielewa.
Uhakika hii lonja au?Wale wa jeiyuii kaeni mkao wa kazi, kabla ya December 24 mnatakiwa muwe mzigoni.
Walionielewa wameshanielewa.
Kwa iyo mzee unatushauri tukiitwa usaili tusiende tutaharibu nauli au sio kwa sabab washafanya yaoHata wakitoa washafanya yao
Mkuu funguka basiWale wa jeiyuii kaeni mkao wa kazi, kabla ya December 24 mnatakiwa muwe mzigoni.
Walionielewa wameshanielewa.
Mkuu fungua codeBakabaka kumekucha uko
Mkuu fungua code
Naimani humu Kuna Vijana angalau Uhamiaji napo mambo sio mabaya.Kwa hiyo Uzi tunaona Vijana mnapata mafanikio.Sisi wengine tunaendelea kusubiri machaka mengine na tunawaombea Nyote Ambao mlipata PT,na wengine Uhamiaji...Tuna Imani sisi sote tutafika tu tunapogigaji.
Mungu Mwema,trust the processKabisaa.....watu wanapata kwa makundi,mpaka sote tutaisha humu
Wakipata wanasepa kimya kimyaNaimani humu Kuna Vijana angalau Uhamiaji napo mambo sio mabaya.Kwa hiyo Uzi tunaona Vijana mnapata mafanikio.Sisi wengine tunaendelea kusubiri machaka mengine na tunawaombea Nyote Ambao mlipata PT,na wengine Uhamiaji...Tuna Imani sisi sote tutafika tu tunapogigaji.
Wakipata wanasepa kimya kimya