Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,549
- 10,995
Wale sidhani kama watapiga kozi me nahisi ile kuwarudisha ni danganya toto tu.daah wale jamaa waasi waliosamehewa wapo uzalendo miez 9 sahiz na millitary science wameenda wiki iliyopita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale sidhani kama watapiga kozi me nahisi ile kuwarudisha ni danganya toto tu.daah wale jamaa waasi waliosamehewa wapo uzalendo miez 9 sahiz na millitary science wameenda wiki iliyopita
Watapiga ...hawawez kuwaacha mtaani watu waliojenga ikuluWale sidhani kama watapiga kozi me nahisi ile kuwarudisha ni danganya toto tu.
Wale uhakika lazma wapewe gwandaWatapiga ...hawawez kuwaacha mtaani watu waliojenga ikulu
Coz inaanza lini??Yeah na kuna mtu sikumbuki Sijui ni umu alikuwa anaulizia kozi ya ofsa cadet ni lini nmepata habari wameshaandikishwa new ofsa wataopiga kozi
washafanyiwa had usahili wale, msata kuna wazarendo 1000+ nowWale sidhani kama watapiga kozi me nahisi ile kuwarudisha ni danganya toto tu.
Sijasikia bado man.Coz inaanza lini??
Duuh kumbe wengiwashafanyiwa had usahili wale, msata kuna wazarendo 1000+ now
Lolote linawezekanaWatapiga ...hawawez kuwaacha mtaani watu waliojenga ikulu
Zimetoka???haya sasa View attachment 2437341View attachment 2437342
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
yaaahZimetoka???
Naomba unisaidie tangazo la hizo ajirayaaah
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usishangae kuambiwa Fake News [emoji23]