Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

TUlipigwa kozi ngumu mujibu wa sheria mpaka maafande wakasema nyie mmeiva kuliko wale wa kujitolea miezi 6...maana wale wa kujitolea OP yetu wengi walikuja na maelekezo kwahyo kozi ililainishwa kidogo
Halfu bravo tulipigwa doso la maana halfu kwa kuongezea kuna siku tulidoji mabio..tulivyodakwa lile doso tulilopigwa ni hatari baada ya hapo nilijiona nimeiva sana aise
Hahahahaa!! Umenikumbusha Jambo,mim afande wa zamu alinisingizia nimepoteza silaha,akaniitishia Mwariko, bas baba muda mfupi tu nilizungukwa na maafande km 8 hv,kipigo chake hiko acha kbsaaa!!! Hlf ngoma ilikuw asbh ya mapemaaa kbs konbania zote hazijatawanyika bdo kuelekea kwny majukum,bas macho yote kwangu,ile siwez kbs kuisahau ktk maisha yangu.
 
Back
Top Bottom