Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Walikuwekea evidence mbna, kuna jamaa nakumbuka alikutolea mfano kuhusu kaka ake. Uhamiaji ili upige hela lazma kwanza ufanyie kazi mpakani, na uwe una cheo. Usizan wale wasio na vyeo wanapga hela. Hapana. Na ukiendekeza magendo lazma utadakwa. Ko ni ukwel polisi yupo juu kimaslahi kuliko Askari wa uhamiaji. Na sababu kubwa polisi anawahudumia moja kwa moja raia, uhamiaji, ye ana deal na mipaka tu. Usimfananishe polisi na uhamiaji hata siku moja. Yan hata Kama ni deal haramu Basi za polisi ni kubwa na nying maana ye ndo anshughulika na uhalifu. Polisi traffic, au mpiga doria au wa central pale anaingiz hela karbia kila sku. Maana ukiingia mule sentro kutoka lazma utoe hela. Yan polis kwa hela tofaut na mshahara mlinganishe labda na madaktar au manesi sio uhamiaji!
Baada ya hali ya kipato kuwa shida kwenye ishu ya usimamizi wa mitihani majeshi mengine (Mambo ya Ndani) pia yaliomba yawe yanasimamia ili angalau wapate zile posho kama wenzao PT na TISS wanavopata.
 
unaonekana una koneksheni kali sana mkuu
Yah..huku mimi sikuomba saiv nategesha tu connections tu mzee. Hata majina ya kwenda kureport yakitoka kama unaconnection unaweza enda report tu .CCp wtu huwa wanareport hata baada ya miezi miwli course kuanza 😂😂😂. Ila Mama Kaganda anaweza akakaza si unamjua yule kanyooka ...watu wanaweza wasiingie ovyo CCp
 
we mbuzi ngoja nikutajie
workpermits,bandarini,airports, godown, citizenship permit,entry and exit points, national and international organized crimes, UN agency i.e IOM agency ,investment permits Nk
Sema wewe jamaa ni mbishi inaonekana wa Asili kabisa.Alafu acha kutukana watu wanaokuelekeza jaribu kujifunza mambo mapya.
Sasa hivyo vitu vyote ulivoviandika hapo unamtengaje PT kuwepo ndani yake?
 
kiwira pale kama hujajipanga ,unaachia kozi njiani. kwenye ule uzi wa magereza wana kibao walikua wnatuibia lonja jinsi watu wanavokimbia kozi ya magereza ikafika hatua wkapokonywa hadi vyeti vya taaluma
Kitu kinachoitwa kozi kisikie tu kwa mwenzio,hakuna kozi ya kijeshi rahisi.
 
KKutoka kwa wadau wanasema Polisi hakuna maovyoovyo mengi sana kama Jwtz...yani ule usumbufu wa sijui mnaenda kula kwa uchura..au kuroll kule hakuna. Ugumu wa CCP ni sheria asee pale chuoni mjini na kuamka saa 6 usiku.Maovyoovyo kwa PT ni porini. Ila JW maovyoovyo mengi na hawakai pori muda mrefu. Halafu PT hawana mambo ya kuchimba mahandaki kama JW

.Kitu kinachoitwa kozi kisikie tu kwa mwenzio,hakuna kozi ya kijeshi rahisi.
 
Kuna kutunguliwa kama Hamza alivyotungua watu pia 😂😂😂😂dadek nakumbuka ile siku nilikuw namsindikiza mshkaj posta kupeleka maombi tupo kwenye folen ya Morocco posta...risas zinasikika dah...mwamba kidogo ahairishe kupeleka maombi...ila saiv anakula maisha ofisini tu
Natamani sana siku moja ningekuwa ASKARI sema sasa ndiyo sina vigezo,wadogo zangu pambaneni,kuwa mlinda AMANI ni HESHIMA kubwa sana.
 
Kuna kutunguliwa kama Hamza alivyotungua watu pia 😂😂😂😂dadek nakumbuka ile siku nilikuw namsindikiza mshkaj posta kupeleka maombi tupo kwenye folen ya Morocco posta...risas zinasikika dah...mwamba kidogo ahairishe kupeleka maombi...ila saiv anakula maisha ofisini tu
Tulikuw wengi siku hiyo dadek mama aliniambia nisiende tena polisi ila sasahivi anafurahi 😂
 
Vitengo mzee. Nina wana kibao intake iliyopita yan walipofika kule ni tengo mwanzo mwisho 😂😂 porini ndio waliipata maana mkuu wa mafunzo ya pori hataki kusikia kitu kinaitwa kitengo. Yeye anakwambia anatoa askari. Kitengo pembeni.
Amini askari wangu ,kuna vipengele inabidi ule scale za kijeshi
 
. Kwanza kazi yenyewe hutopata! Umepoteza bure pesa zako za posta

HAPANA hii hatusupport kwenye uzi wetu mabishano yawepo Lakin icho ulichoandika hatutaki apa wote tunaombeana tupate sio kukosa bro.

Mabishano yawepo kwa nia ya kuibua na kijibu hoja na pia kupitia mabishano ata sisi tusiojua chochote tutapata kitu.
 
Back
Top Bottom