MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Mimi mwenyewe sijui ndio maana nimeuliza
Ila kuna mtu ni askari polisi nimemuuliza leo ana masters of arts in Mass communication kaniambia inatambulika hata kwenye scale ya mshahara hajaniambia wanapata ngapi
Ndio maana nimekuja kuuliza huku maana najua kuna mapoti huku ni kweli ?au mwamba alikuwa anajipa ujiko ?