Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Sahihi kabisa, naweza tolea mfano kwa bwana mmoja si vyema kumtaja majina alifanya vyema sana katika taaluma fulani japo alikuwa ni kidato cha nne tu elimu yake ila huwezi amini alipelekwa uingereza kuisoma vyema ile taaluma. Kwahiyo si kauli nzuri kuona kama hao watu wa darasa la 7 au kidato cha nne hawana maana, kukosa nidhamu ni utashi wa mtu binafsi kuna watu wana elimu nzuri na wanatimuliwa sana mfano TMA.
pamoja mkuu
 
Mkuu ukiingia serikalini utapewa namba yako ya kulipwa kupitia hazina ndio inaitwa check number.
Yaani badala kupambana kuingia kwenye system anaulizia habari ya mkopo pambana kwanza uingie kwenye system mambo ingine utajua hukohuko may b kama hujapitia msoto wa kitaa ndo uanze kujudge maslahi
 
Huu uzi unaonekana umejaa wasomi sana alafu ni wasomi ambao bado wanakasumba ya kujiona wao ni bora kuliko wengine na wanastaili kuliko wengine jambo ambalo si kweli ata kama mtu ameishia darasa la saba anaweza akawa na IQ kubwa kuliko aliefika level ya degree kwasababu ata chuoni tuliona mengi yaliyosababisha tujiulize utashi wa mtu fulani kupembua mambo, Kwahiyo swala la mtu kusumbua kazini au kwenye ajira sio la darasa la saba B au degree ni utashi wa mtu binafsi. Anyways i think kila mtu anavutia upande wake apo ndo pale jeshini walikuwa wanasema ukiona wameenza kufarakana ujue dawa imeanza ingia.
hii ni kweli mkuu hata mimi nimeona hilo
 
Screenshot_2023_0107_112426.jpg
 
Huu uzi unaonekana umejaa wasomi sana alafu ni wasomi ambao bado wanakasumba ya kujiona wao ni bora kuliko wengine na wanastaili kuliko wengine jambo ambalo si kweli ata kama mtu ameishia darasa la saba anaweza akawa na IQ kubwa kuliko aliefika level ya degree kwasababu ata chuoni tuliona mengi yaliyosababisha tujiulize utashi wa mtu fulani kupembua mambo, Kwahiyo swala la mtu kusumbua kazini au kwenye ajira sio la darasa la saba B au degree ni utashi wa mtu binafsi. Anyways i think kila mtu anavutia upande wake apo ndo pale jeshini walikuwa wanasema ukiona wameenza kufarakana ujue dawa imeanza ingia.
Ni kweli unalosema, lkn exposure ya elimu inasaidia sanaa
Huu uzi unaonekana umejaa wasomi sana alafu ni wasomi ambao bado wanakasumba ya kujiona wao ni bora kuliko wengine na wanastaili kuliko wengine jambo ambalo si kweli ata kama mtu ameishia darasa la saba anaweza akawa na IQ kubwa kuliko aliefika level ya degree kwasababu ata chuoni tuliona mengi yaliyosababisha tujiulize utashi wa mtu fulani kupembua mambo, Kwahiyo swala la mtu kusumbua kazini au kwenye ajira sio la darasa la saba B au degree ni utashi wa mtu binafsi. Anyways i think kila mtu anavutia upande wake apo ndo pale jeshini walikuwa wanasema ukiona wameenza kufarakana ujue dawa imeanza ingia.
Unalosema ni kweli lakini trust me exposure ya elimu inasaidia sanaa, ndio mana mtu akifanya jambo la ovyo kwenye jamii mara nyingi tunaanza kuhoji kiwango Cha elimu yake
 
Huu uzi unaonekana umejaa wasomi sana alafu ni wasomi ambao bado wanakasumba ya kujiona wao ni bora kuliko wengine na wanastaili kuliko wengine jambo ambalo si kweli ata kama mtu ameishia darasa la saba anaweza akawa na IQ kubwa kuliko aliefika level ya degree kwasababu ata chuoni tuliona mengi yaliyosababisha tujiulize utashi wa mtu fulani kupembua mambo, Kwahiyo swala la mtu kusumbua kazini au kwenye ajira sio la darasa la saba B au degree ni utashi wa mtu binafsi. Anyways i think kila mtu anavutia upande wake apo ndo pale jeshini walikuwa wanasema ukiona wameenza kufarakana ujue dawa imeanza ingia.
Ni moja ya sababu watu wa degree wanachukuliwa wachache kuliko hao fm4
 
Ni moja ya sababu watu wa degree wanachukuliwa wachache kuliko hao fm4
Hapana let's be honest and face facts. watu wa degree Wanachukuliwa wachache kutokana na uhitaji wao na kumbuka salary scale ya degree ni kubwa kuliko form four kwaiyo kama kazi inaweza fanywa na form four kwann uajiri degree mwenye mshahara mkubwa??? Ni simple logic tu ya kubana matumizi yasiyo na lazima
 
Back
Top Bottom