Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

jamani kwa waliopo songea PT ngazi ya mkoa wamepiga cm au wametoa majina maana kwangu naona kimya
 
Hahaha umenikumbusha mbali sana mzee hii njia niliwahi tumia na mpaka Leo nimepata kazi dah mungu huyu ni mwema Sana
Watu hawaelewi, umakuta mtu yupo Dar au Dodoma eti anahuzunika kutochaguliwa. Kwa wakazi wa Dom na Dar hata kuapply huwa wanajisumbua tu, ni kusubiri tatehe usika ya usaili unatimba na vyeti vyako na kazi unapewa
 
Wakuu jina langu limetoka kwenye kitengo afya halafu watu wa kada yangu wengine wamewekwa Kamisheni ya Forensic hilo limekaaje?
 
Pambaneni ndugu zangu mliochaguliwa mungu atawasaidia kila hatua mtangulizeni mungu ,sisi ngoja tukomae na mishe mishe za mtaani kama mungu akibless tutajakuwa pamoja [emoji3578][emoji120]
Mungu ni wa kwetu sote kaka.
 
Pambaneni ndugu zangu mliochaguliwa mungu atawasaidia kila hatua mtangulizeni mungu ,sisi ngoja tukomae na mishe mishe za mtaani kama mungu akibless tutajakuwa pamoja [emoji3578][emoji120]
Mungu ni wa kwetu sote kaka.
 
Pambaneni ndugu zangu mliochaguliwa mungu atawasaidia kila hatua mtangulizeni mungu ,sisi ngoja tukomae na mishe mishe za mtaani kama mungu akibless tutajakuwa pamoja [emoji3578][emoji120]
Changamoto ya mtaani unakua na muda wotee Ila ka capital ndo shida. Ukiingia chomboni ni rahisi kupata capital Ila sasa muda ndo unakua huna
 
Back
Top Bottom