Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Duuh....mambo yapo kasi! Na pale tehema tulikuwa 300 kuanzia ngazi ya cheti hadi shahada

That means watu 250 wote wameachwa

Sema kilichonikera walivuta muda hadi jumamosi baadhi ya watu waliokuwa shortlisted uhamiaji wakashindwa kwenda alafu mwisho wa siku mtu anakosa huku na huku! Na walienda kuomba ruhusa ila wakawatalia..kwa tehama kama wamechukua 50 as you claim ni kama 16.7% ya waliofanya usahili ndio wamechuliwa that's means majeshini pameanza kuwa pagumu kama utumishi...ni rehema tu za Allah ila mambo yashakuwa magumu kwakweli
 
Duuh....mambo yapo kasi! Na pale tehema tulikuwa 300 kuanzia ngazi ya cheti hadi shahada

That means watu 250 wote wameachwa

Sema kilichonikera walivuta muda hadi jumamosi baadhi ya watu waliokuwa shortlisted uhamiaji wakashindwa kwenda alafu mwisho wa siku mtu anakosa huku na huku! Na walienda kuomba ruhusa ila wakawatalia..kwa tehama kama wamechukua 50 as you claim ni kama 16.7% ya waliofanya usahili ndio wamechuliwa that's means majeshini pameanza kuwa pagumu kama utumishi...ni rehema tu za Allah ila mambo yashakuwa magumu kwakweli
Ningekuwa Mimi,nimechaguliwa kote na mda unabana Bora niende usahili wa polisi kuliko uhamiaji na pccb
 
Duuh....mambo yapo kasi! Na pale tehema tulikuwa 300 kuanzia ngazi ya cheti hadi shahada

That means watu 250 wote wameachwa

Sema kilichonikera walivuta muda hadi jumamosi baadhi ya watu waliokuwa shortlisted uhamiaji wakashindwa kwenda alafu mwisho wa siku mtu anakosa huku na huku! Na walienda kuomba ruhusa ila wakawatalia..kwa tehama kama wamechukua 50 as you claim ni kama 16.7% ya waliofanya usahili ndio wamechuliwa that's means majeshini pameanza kuwa pagumu kama utumishi...ni rehema tu za Allah ila mambo yashakuwa magumu kwakweli
16% ni kubwa sana...hiyo ni bahat kwao
 
Kwani PDF imeshatoka?
Duuh....mambo yapo kasi! Na pale tehema tulikuwa 300 kuanzia ngazi ya cheti hadi shahada

That means watu 250 wote wameachwa

Sema kilichonikera walivuta muda hadi jumamosi baadhi ya watu waliokuwa shortlisted uhamiaji wakashindwa kwenda alafu mwisho wa siku mtu anakosa huku na huku! Na walienda kuomba ruhusa ila wakawatalia..kwa tehama kama wamechukua 50 as you claim ni kama 16.7% ya waliofanya usahili ndio wamechuliwa that's means majeshini pameanza kuwa pagumu kama utumishi...ni rehema tu za Allah ila mambo yashakuwa magumu kwakweli
 
Duuh....mambo yapo kasi! Na pale tehema tulikuwa 300 kuanzia ngazi ya cheti hadi shahada

That means watu 250 wote wameachwa

Sema kilichonikera walivuta muda hadi jumamosi baadhi ya watu waliokuwa shortlisted uhamiaji wakashindwa kwenda alafu mwisho wa siku mtu anakosa huku na huku! Na walienda kuomba ruhusa ila wakawatalia..kwa tehama kama wamechukua 50 as you claim ni kama 16.7% ya waliofanya usahili ndio wamechuliwa that's means majeshini pameanza kuwa pagumu kama utumishi...ni rehema tu za Allah ila mambo yashakuwa magumu kwakweli
Kaka Tusubirie PDF ili tupate uhakika kamili,japo siku zote wenye fani huwa wanachukuliwa wachache sana tofauti na form 4
 
Nidhamu muhimu mkiingia chomboni
Screenshot_2023-02-23-15-44-23-39_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
Duuuuh nina miaka 31, ndoto yangu ni kuwa JWTZ elimu digri (hapa najuta kwa nini nilijichanganya kusoma tena umri ukaenda tena kusoma maana six nilizingua na ma E flat miaka ile ya 2013) ilitakiwa niende kule mapema sana kufanya kazi ninayoipenda ktk uso wa hii dunia.

Sasa Nafsi inanisuta kila siku kila mda inataka niwepo jeshini, taaluma yangu ni ya kiboya jeshi haliitaki ! Utumishi .... NGUMI AINA YA SUGUNYO (japo hata wangenipa kazi ningewakimbia badae na kupambania kurudi kwenye kazi niliyoandikiwa kuja kuifanya ya JWTZ) Umri umeshanitema ningeenda hata kujitolea nikabasti kozi tena (maana nilienda mujibu wa sheria) fani nzuri sina mamamamamaeeeeeh ! Mbuyu sina manina zangu .... Maisha haya nyoko sana, acha kabisa.

Oya Kwa hiyo siku moja nitakuja kufa bila kuwa askari wa JWTZ au 😭😭😭😭😭 ? Yani siamini Hivi humu hamna wa kunishika mkono aiseeeh nikalivae baka walau nije kudedia kunako uwanja wa kivita nikipambania amani ya dunia hii ?
 
Oya wanangu vipi kwenye usaili wa JWTZ na wenyewe wanahitaji kitu cha NIDA ili mtu aangalie utaratibu wa kupambania kombe kwa unaa mwingine kwa kuichekecha hiyo kitu au ikoje ?
Pesa ya kuwahonga makamanda wanipe nafasi nayo, SINA !
yani ni kama komandoo akiwa vitani, ameishiwa risasi na viazi (mabomu) sasa anatamani afanye UP achomoke hapo lakini hawezi kutokana na kwamba amezungukwa na adui zake wenye silaha nzito. Noma sana.
 
Back
Top Bottom