Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nipo Dar kwa sasa NIda ipo mda sana tangu 2017 mkuu, nilitaka kujua kama hawaulizi ķwenye usaili ili nijipige kifua nikajaribu tena bahati JKT. Au kama inawezekana nijisajiri upya nibadilishe mwaka wa kuzaliwa na jina kabisa. Ili wakiihitaji jeshini nisipate taabu maana hii iliyopo umri wake ni wa hovyo sana ni mkubwa majeshi hayautaki na mimi ndiyo yule mwenye mahaba mazito na hicho chombo yani siambiwi wala sisikii ! Ni shida sana. Vipi kupata nida nyingine inawezekana ukizingatia alama za vidole vyangu tayari wanazo kule ? Nasaka jeshi kwa udi na uvumba yan
Dah...[emoji119]
 
Ko tofauti na JW huendi au..
Ikitokea naenda tuu, maana hakuna namna. Ili mradi niwe nalinda usiku, kupiga kwata kwa unaa mkubwa, kombati ya jeshi niwe naitupia kwa mwili ile imenyooshwa kwa pasi mpaka nzi anakatika akijichanganya ! Buti inang'ara kama kioo ....kidevu kiwe kipara kichwani kuwe na upara, kila siku mabio mazoezi ya kukata na shoka, niwe napiga Combat karatee balaa niwe napambana na adui kwa silaha ile kama vitani hiviii .... na kupata raha zingine za kijeshi kama hizo, ndio nafsi yangu itaridhika na siku hiyo ntamshukuru sana mwenyezi Mungu ikitokea.
 
Ikitokea naenda tuu, maana hakuna namna. Ili mradi niwe nalinda usiku, kupiga kwata kwa unaa mkubwa, kombati ya jeshi niwe naitupia kwa mwili ile imenyooshwa kwa pasi mpaka nzi anakatika akijichanganya ! Buti inang'ara kama kioo ....kidevu kiwe kipara kichwani kuwe na upara, kila siku mabio mazoezi ya kukata na shoka, niwe napiga Combat karatee balaa niwe napambana na adui kwa silaha ile kama vitani hiviii .... na kupata raha zingine za kijeshi kama hizo, ndio nafsi yangu itaridhika na siku hiyo ntamshukuru sana mwenyezi Mungu ikitokea.
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]oyaaa umetisha afande morali ya juu sana
 
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]oyaaa umetisha afande morali ya juu sana
Morali ipo ya kutosha imejaa mpaka inamwagikia lakini nafasi hupewi anapewa mhuni ambaye yani jeshi siyo hobi yake kiufupi mwana kule anafuata mshahara tuu kwa sababu Inakuwa hana namna nyingine ya kufanya yani ajira imeshindikana kupatikana kitaa ndiyo sasa akipata nafasi kule anaona bora aende akale mshahara wa jeshi lakini wakisema haya vijana twende mstari wa mbele kupigana kuna vita ... weeee wahuni wanaacha manyoya vibaya mno na kugwaya. Sasa mimi na (wengine) tatizo ni kwamba mtu unapenda jeshi kwa dhati ya moyo wako siyo kwamba unafuata hizo posho, kinachotesa mtu ni kupenda jeshi Maana kama ni hela ukikomaa mtaani unazipata tatizo nafsi mamamamaee inauma kisengeee
 
Morali ipo ya kutosha imejaa mpaka inamwagikia lakini nafasi hupewi anapewa mhuni ambaye yani jeshi siyo hobi yake kiufupi mwana kule anafuata mshahara tuu kwa sababu Inakuwa hana namna nyingine ya kufanya yani ajira imeshindikana kupatikana kitaa ndiyo sasa akipata nafasi kule anaona bora aende akale mshahara wa jeshi lakini wakisema haya vijana twende mstari wa mbele kupigana kuna vita ... weeee wahuni wanaacha manyoya vibaya mno na kugwaya. Sasa mimi na (wengine) tatizo ni kwamba mtu unapenda jeshi kwa dhati ya moyo wako siyo kwamba unafuata hizo posho, kinachotesa mtu ni kupenda jeshi Maana kama ni hela ukikomaa mtaani unazipata tatizo nafsi mamamamaee inauma kisengeee
Kama unauwezo wa kuzipata hela mtaani...nakushauri weka nguvu kwenye kutafuta pesa.
 
Nipo Dar kwa sasa NIda ipo mda sana tangu 2017 mkuu, nilitaka kujua kama hawaulizi ķwenye usaili ili nijipige kifua nikajaribu tena bahati JKT. Au kama inawezekana nijisajiri upya nibadilishe mwaka wa kuzaliwa na jina kabisa. Ili wakiihitaji jeshini nisipate taabu maana hii iliyopo umri wake ni wa hovyo sana ni mkubwa majeshi hayautaki na mimi ndiyo yule mwenye mahaba mazito na hicho chombo yani siambiwi wala sisikii ! Ni shida sana. Vipi kupata nida nyingine inawezekana ukizingatia alama za vidole vyangu tayari wanazo kule ? Nasaka jeshi kwa udi na uvumba yan
Sasa utarudisha mwaka nyuma fingerprints za vidole huwezi badili ukienda weka kidole kwenye mashine taarifa zako za mwanzo zinakuja hapo ndo jela inakuita kuidanganya jamuhuri
 
Changamoto inakuja hapo sasa. Ni vigumu kweli.
Hivi mnaamini finger print za kibongo? Mbona ukitaka kuretrive taarifa zako wanataka majina matatu ya baba na mama, kama hizo finger print zingekua imara si tungetia kidole tu? Tz hawana database kubwa na ndio maana Wala hawajisumbui kuajili MATEHAMA wenye kufanya mambo kiurahisi
 
Hivi mnaamini finger print za kibongo? Mbona ukitaka kuretrive taarifa zako wanataka majina matatu ya baba na mama, kama hizo finger print zingekua imara si tungetia kidole tu? Tz hawana database kubwa na ndio maana Wala hawajisumbui kuajili MATEHAMA wenye kufanya mambo kiurahisi
Taarifa zako Zinakuja vizuri tu.....mfano ukiwa unasajili laini ya simu kwa NIDA kitendo Cha kuweka vidole kwenye kile kimashine BAC taarifa zinakuja zote pia wale walio pata mkopo na boom kipind wanasoma mambo ya fingerprint yalikua muhimu....
Kwaio system iko vzr tu...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wenye bahat zenu mkaangalie majina yenu huku.
20230225_101430.jpg
 
Nipo Dar kwa sasa NIda ipo mda sana tangu 2017 mkuu, nilitaka kujua kama hawaulizi ķwenye usaili ili nijipige kifua nikajaribu tena bahati JKT. Au kama inawezekana nijisajiri upya nibadilishe mwaka wa kuzaliwa na jina kabisa. Ili wakiihitaji jeshini nisipate taabu maana hii iliyopo umri wake ni wa hovyo sana ni mkubwa majeshi hayautaki na mimi ndiyo yule mwenye mahaba mazito na hicho chombo yani siambiwi wala sisikii ! Ni shida sana. Vipi kupata nida nyingine inawezekana ukizingatia alama za vidole vyangu tayari wanazo kule ? Nasaka jeshi kwa udi na uvumba yan
Nida huwezi kubadilisha mwaka na ukizubaa unaenda jera mkuu

Nida wana maelekezo wameshapewa kuhusu wanaotaka kubadili miaka ukifika tu wanakuwa wanajua why unataka ubadili
 
Nipo Dar kwa sasa NIda ipo mda sana tangu 2017 mkuu, nilitaka kujua kama hawaulizi ķwenye usaili ili nijipige kifua nikajaribu tena bahati JKT. Au kama inawezekana nijisajiri upya nibadilishe mwaka wa kuzaliwa na jina kabisa. Ili wakiihitaji jeshini nisipate taabu maana hii iliyopo umri wake ni wa hovyo sana ni mkubwa majeshi hayautaki na mimi ndiyo yule mwenye mahaba mazito na hicho chombo yani siambiwi wala sisikii ! Ni shida sana. Vipi kupata nida nyingine inawezekana ukizingatia alama za vidole vyangu tayari wanazo kule ? Nasaka jeshi kwa udi na uvumba yan
Angalia maisha mengine. Usiforce usije ukajuta kabisa. Kuna maisha mengine nje ya majeshi.
 
Hivi mnaamini finger print za kibongo? Mbona ukitaka kuretrive taarifa zako wanataka majina matatu ya baba na mama, kama hizo finger print zingekua imara si tungetia kidole tu? Tz hawana database kubwa na ndio maana Wala hawajisumbui kuajili MATEHAMA wenye kufanya mambo kiurahisi
Ila kwa sasa Teknolojia iko juu sana mtu anaweza pata tabu.
 
Back
Top Bottom