Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

PDF la Oct/2021 PT alichukua vijana 3275...kunywa maji mengi andaa nguvu
Screenshot_20230310-130018.jpg
 
Tangazo limelenga kijana aliyefanya mafunzo na kutumikia mkataba wake kwa muda wa zaidi ya miaka miwili tafsiri yake ni operation za kujitolea na si Mujibu na Wala si operation makao makuu Dodoma isipokuwa operation yeyote mwenye sifa tajwa hakuna sehemu walisema operation makao makuu
Target Makao, nimesha sema km yupo wa makao humu aje mi ntamgaramia hta nauli ya Dodoma na kurudi mana hili tangazo ndo limemlenga. Fulstop📌 na sio lazima unikubali mi sifany Approach wala agenda ya siasa hpa
 
Kuna Jamaa zangu hapa Wawili wakike na Wakiume hawajawahi kwenda JKT kwa Mujibu wala kwa kujitolea,sasa wamepata Mkubwa jeshini wanadai nimiongoni mwa Ma Afisa wakuu Jeshini, Wametoa kama Milion kadhaa wapewe hizi nafasi. je..?? Kuna huu uhuni TPDF..???

Kama huu mchezo upo basi watoto wa Maskini mtasota sana huko makambini wengine wanachoropokea majumbani moja kwa moja RTS.
Chief humu duniani hakuna jipya uhuni unafanywa sana ,kama kwenye nyumba za ibada watumishi wanaiba sadaka na wengine wanatapeli watu kwa mwamvuli wa dini.
Ili duniani kuwe na haki labda malkia washushwe toka mbinguni waje kusimamia ndio kutakuwepo na haki.
 
Kuna Jamaa zangu hapa Wawili wakike na Wakiume hawajawahi kwenda JKT kwa Mujibu wala kwa kujitolea,sasa wamepata Mkubwa jeshini wanadai nimiongoni mwa Ma Afisa wakuu Jeshini, Wametoa kama Milion kadhaa wapewe hizi nafasi. je..?? Kuna huu uhuni TPDF..???

Kama huu mchezo upo basi watoto wa Maskini mtasota sana huko makambini wengine wanachoropokea majumbani moja kwa moja RTS.
Usahili wa kazi na utumishi kwenye nyanja zote ukisimamiwa na malaika ndio kutakua na haki.
 
Cyo experience mkuu mbon wapo but analinda kwa for 2 weeks kila bank tena ktk hao ambao wameajiriwa juz tu yaan yy analinda Bank only Cjawah kumskia yupo sehem nyingine tangia aajiriwe mfan wik 2 yupo crdb but wik moj asubh wik inayofuata ni usku huyo ni GD
Wanagawana na maboss
 
Nina mdogo wangu ni mwanajeshi kaapa mwaka jana msata alipita mujibu mwaka juzi op samia, waliulizwa kama wanataka kubaki waliokubali wakachukuliwa majina yao wakaenda msata na wengine oljoro, msidhani tunaandika vitu kwa kukurupuka tuna mifano
Cha kwanza! Ndiyo najua umekurupuka sasa Ili tuendelee nna ka swali kadogo maana unaweza kuwa unaongea tu hapa kwa kusikia stori tu na nnauliza hivi sababu kwa mwaka huo OP SAMIA wanafanyiwa usaili nilikuwa kanda hyo na nilishuhudia mpaka madogo wanafanyiwa usahili, Je huyo mdogo wako alikuwa kikosi gani?

Halafu kingine hivi inakuaje kwa ulimwengu huu wa wasomi waanze kuwabembeleza hiyo big NO!

Ipo hivi walifanyiwa usahili na waliobahatika ni wachache sana na wakawaambia tutawapigia simu ila sio kama unavyosema wewe hapo ko hakuna aliye baki wala nini, muda ulivyofika wa kuondoka waliondoka wote
 
Back
Top Bottom