Am_tunnechi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 1,060
- 1,956
WAHUNI TUISHI NA JAMII INAYOTUZUNGUKA KWA AMANI NA UPENDO.. CONNECTION IPO KWENYE JAMII ZETU TENA UTAFANIKIWA BILA KUTOA HELA WALA CHOCHOTE.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli,vipi wameshaanza kupiga simu au ni ronja tuu hiyo ya 20 mayWAHUNI TUISHI NA JAMII INAYOTUZUNGUKA KWA AMANI NA UPENDO.. CONNECTION IPO KWENYE JAMII ZETU TENA UTAFANIKIWA BILA KUTOA HELA WALA CHOCHOTE.
BAADHI NI MAELEKEZO MKUU SIJAFAHAMU KAMA KUNA WALIYOPIGIWA SIMUni kweli,vipi wameshaanza kupiga simu au ni ronja tuu hiyo ya 20 may
Nimependa hyo Utaulizia sana intake 😀😀😀nimekuja kuwasalimu maafande coz kitambo sijaripoti kwenye huu uzi.
usipokuwa na mtu sahihi na connection kali utaulizia sana intake za vyombo hivi lakini hauto ingia mzigoni .
nawapa updates UT lile genge lenye nguvu lipo linahojiwa ngazi za juu kitaifa ,kuhusu biasness and unfair selection.
ndio hvo afsa, ni mwendo wa wnakuja lini tena !! na wakija watapita shwaa later on utaulizia tenaa UT,PT JW wnakuja lini aiseeh !TupambaneNimependa hyo Utaulizia sana intake 😀😀😀
[emoji28][emoji28] *****..ndio hvo afsa, ni mwendo wa wnakuja lini tena !! na wakija watapita shwaa later on utaulizia tenaa UT,PT JW wnakuja lini aiseeh !Tupambane
Sio kwa serikali hii itaishiaa hivyohivyo juu kwa juu....nimekuja kuwasalimu maafande coz kitambo sijaripoti kwenye huu uzi.
usipokuwa na mtu sahihi na connection kali utaulizia sana intake za vyombo hivi lakini hauto ingia mzigoni .
nawapa updates UT lile genge lenye nguvu lipo linahojiwa ngazi za juu kitaifa ,kuhusu biasness and unfair selection.
tuendelee kuwa na imaniSio kwa serikali hii itaishiaa hivyohivyo juu kwa juu....
Hao wanaohojiwa washapoteza vibarua vyao wallahnimekuja kuwasalimu maafande coz kitambo sijaripoti kwenye huu uzi.
usipokuwa na mtu sahihi na connection kali utaulizia sana intake za vyombo hivi lakini hauto ingia mzigoni .
nawapa updates UT lile genge lenye nguvu lipo linahojiwa ngazi za juu kitaifa ,kuhusu biasness and unfair selection.
Ukimwambia hivi afande suma jkt TPDF_23 HAKUELEWIWAHUNI TUISHI NA JAMII INAYOTUZUNGUKA KWA AMANI NA UPENDO.. CONNECTION IPO KWENYE JAMII ZETU TENA UTAFANIKIWA BILA KUTOA HELA WALA CHOCHOTE.
Ebana ehh!!! Hivi kuna hata mwana mmoja ambae amefanikiwa kupata UT humu!!! Tuanzie hapa kwanza[emoji28]nimekuja kuwasalimu maafande coz kitambo sijaripoti kwenye huu uzi.
usipokuwa na mtu sahihi na connection kali utaulizia sana intake za vyombo hivi lakini hauto ingia mzigoni .
nawapa updates UT lile genge lenye nguvu lipo linahojiwa ngazi za juu kitaifa ,kuhusu biasness and unfair selection.
Kuna mwamba alikua anaitwa @mrbanks..huyo uhakika amezama UT maana alikua na maelekezo ya kutishaEbana ehh!!! Hivi kuna hata mwana mmoja ambae amefanikiwa kupata UT humu!!! Tuanzie hapa kwanza[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
ngumu sababu wnalindanaHao wanaohojiwa washapoteza vibarua vyao wallah
yawezekana wapo mkuu, ila UT na genge lao usahili ule walizidisha sana kujuana aiseeh,kama umefatilia kuna mdada alianzisha uzi humu jf nikaja kuushare hapa aiseeh kifupi wamemuharibia maisha, yaani mwanzoni mwa kozi kaambiwa arudi nyumbani ni unfit, na wamewafanyia washakaji wengi balaa kurejeshwa homu. kitaa kitakuonaje yaani umeaga kwenda depo later on wanakuona mtaaaniEbana ehh!!! Hivi kuna hata mwana mmoja ambae amefanikiwa kupata UT humu!!! Tuanzie hapa kwanza[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
kama sijakosea yule hakuwa shortlisted kabisa UT,nakumbuka alipiga usahili PT,ila alikua anataka azame sana JWKuna mwamba alikua anaitwa @mrbanks..huyo uhakika amezama UT maana alikua na maelekezo ya kutisha
Kuna wengine wafanya hiyo michezo walitimuliwa vibarua vyao kabisa mkuungumu sababu wnalindana
Heri uende kimya kimya tu sasayawezekana wapo mkuu, ila UT na genge lao usahili ule walizidisha sana kujuana aiseeh,kama umefatilia kuna mdada alianzisha uzi humu jf nikaja kuushare hapa aiseeh kifupi wamemuharibia maisha, yaani mwanzoni mwa kozi kaambiwa arudi nyumbani ni unfit, na wamewafanyia washakaji wengi balaa kurejeshwa homu. kitaa kitakuonaje yaani umeaga kwenda depo later on wanakuona mtaaani
Alafu serikalini mpaka ukisikia mtu kafukuzwa kazi!! Aice basi huo msala ni mkubwa sana kiasi kwamba hata kukusaidia haiwezekani, mtu akizingua labda utaskia kaamishawa kituongumu sababu wnalindana