NAJYUZ
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 1,981
- 3,475
I second you.Sio lonja mkuu nilikua nasema watu wapambanie ya Leo maana ya kesho sio guarantee
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I second you.Sio lonja mkuu nilikua nasema watu wapambanie ya Leo maana ya kesho sio guarantee
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sema nasikia magereza hawana Mbambamba.Magereza watu hawana mzuka napo [emoji28]
UsaHili wake huwa unafanyikia wap maan dah tumechoka kupoteza nauli Kila UsaHili tunapigwa ndoigeMagereza watu hawana mzuka napo [emoji28]
Umenena vyema kabisaSahihi. Ukiachana na wanajeshi waajiriwa wanaoenda Monduli kufanya kozi ya Uafsa jeshini. Kuna wale wanaofanya kozi fupi then wanaenda monduli moja kwa moja mfano Proffesionals (kama Madaktari na Engineers waliopo Monduli hivi sasa).
Ko ni kambi zote za jkt sioOkay,Nimepata taarifa sahihi sasa iko hiv usaili unaofanyika tarehe 24 may vikosini sio wa monduli point of correction.
Usaili huu vijana watakaopatikana vikosini watakombainiwa na wale watakaochukuliwa wa mtaani nafasi zile zilizotangazwa wale wakujitolea 2yrs.Kuanzia June 1 wataanza kuitwa kwa message kwenda kwenye usaili (Wale waliopo mtaani wakujitolea).By Tarehe 1August kozi itaanza Rasmi katika kambi iliyochaguliwa kwa mafunzo,Naomba kuwasilisha.
Umepita mikononi mwake?? Msabato+ Mjaluo anaroho ngumu sana yule..
Nmepita wakati wake ila yeye alikuwa Alpha Coy me Danger kwa Aloyce(super feo),Sese bhana alikuwa anaheshimu sana sabato ikifika ijumaa saa12 tu hana madhara kimbembe umkute kuanzia jmos saa12 utakula kazi hadi ujute.Umepita mikononi mwake?? Msabato+ Mjaluo anaroho ngumu sana yule..
Basi nimekupekeka Sana kuoga mkuu.Nmepita wakati wake ila yeye alikuwa Alpha Coy me Danger kwa Aloyce(super feo),Sese bhana alikuwa anaheshimu sana sabato ikifika ijumaa saa12 tu hana madhara kimbembe umkute kuanzia jmos saa12 utakula kazi hadi ujute.
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Katoa ramli chonganishi lazima apewe za uso mkuuWakuu msimchukulie serious sana kijana.
Nadhani zilikuwa ni show off tu..[emoji28]
TMA watu walisha pungua nidhamu na afya piaHao waliopo msata ni wenye diploma. Wenye degree wapo Monduli wanapiga kozi ya cadet.. kiujumla walikusanywa wote mwaka jana, wakaapa pale Makutupora. Wenye degree wakenda cadet (baada ya kufanya kozi fupi ya awali) then hao wa diploma wakaenda Msata. So watakapoajiriwa jeshini watafuata utaratibu wa kawaida kwenda Monduli kama watakua na sifa..
Duuuh hatariTMA watu walisha pungua nidhamu na afya pia
[emoji28]au sioBasi nimekupekeka Sana kuoga mkuu.
Poa ngj tusbr pdfHuu wa sahv nahisi dodoma mkuu but sinaaa uwakika sanaaa
Eeh!! ***** sio poa..!!TMA watu walisha pungua nidhamu na afya pia
Hamna mkuu.Kwanini Mkuu?
Tupe ronja..
Wapo wamerud home ...baadhi wakon TAU Wana sikilzia upepoDuuuh hatari
Sasa wanarudishwa kikosin Au inakuwaje