mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 2,780
- 3,733
Mzee wa Ikuru leo umeongea Point hapaOmba as longest kuomba ni bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa Ikuru leo umeongea Point hapaOmba as longest kuomba ni bure
....Mzee wa Ikuru leo umeongea Point hapa
Riziki ya mtu anaepanga ni Mungu but Mungu anatutaka sisi kutafuta tu sababu ya kupitishia riziki zetuYah ngoja nijaribu kuomba ikitiki nasimama chuo naenda kupambania nafasi
boss mtaa unanichakata sanamfwende sawadogo umepotea wapi
......boss mtaa unanichakata sana
Nasikia uhamiaji huko wanapiga kwata,gwaride watu wanamalizia malizia koziboss mtaa unanichakata sana
Si walioingia juzi tu hapa.Nasikia uhamiaji huko wanapiga kwata,gwaride watu wanamalizia malizia kozi
Tunawasubiria wao pia... Maana Kuna lonja za wao kujaNasikia uhamiaji huko wanapiga kwata,gwaride watu wanamalizia malizia kozi
Watakuja tu inshaallahTunawasubiria wao pia... Maana Kuna lonja za wao kuja
Kaka polisi umeshaomba tayari??????boss mtaa unanichakata sana
Ila vigezo vya awamu hii tuache masihara ni vizitoKaka polisi umeshaomba tayari??????
sijaona kipengele cha degree holder na fani yangu, so sijaomba mkuuKaka polisi umeshaomba tayari??????
Unatupanga sana hiv kuna faida gan unapata?Riziki ya mtu anaepanga ni Mungu but Mungu anatutaka sisi kutafuta tu sababu ya kupitishia riziki zetu
Mwaka jana TPA walitoa nafasi za mechanical wakitaka level 3 za Veta nikawaambia madogo 5 pale kitaa wanne wakagoma kuomba wakidai hizo nafasi zina wenyewe Dogo mmoja akaomba
Kiuhalisia zile nafasi watu walikuwa wameshagawana na kupenyeza ndugu zao but Huyu Dogo aliwakimbiza kwenye practical mpaka wakaona aibu jinsi ya kumkata
Kinachonisikitisha ni kuwa huyu Dogo now ni Limbukeni mwezi uliopita nimeona kanunua harrier aliyakuwa mm Nina miaka 5 job ila ni BM 150 tu
Mzee mbwembwe zote zile uhamiaji ukwenda hii nchi nguma sana.sijaona kipengele cha degree holder na fani yangu, so sijaomba mkuu