Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Mzee kunywa maji mengi tuliaaa...usiwe na haraka kabisa na haya mambo
Huwa inategemea na maelekezo kutoka juu
Hawa wa mkoa hawaamui eti usahili tutaufanya wiki moja then wiki ya pili watu waanze kozi ..haya mambo yanaenda kiutaratibu chief
Usaili unachukuaga mda gani
 
NAJYUZ Jadda Zafrain sag @ Ndege Tai mwenye lonja ya military science mujibu wa mwaka huu anisanue wakuu nini kinaendelea.
Mkuu kwa mwaka huu sina lonja za military science mara ya mwisho kusikia lonja zao ilikuwa mwaka jana december ndio walianza course, kwahiyo ni either watakuwa washamaliza au wanaelekea kumaliza maana course huwa ni miezi tisa hadi mwaka so sidhani kama wameanza kuita wengine, jaribu kufuatilia hata youtube kama kuna video yoyote ya maafisa wapya walioapishwa mwaka huu ulinzi channel huwa wanapost kila mwaka na kama hawajapost basi itakuwa bado
 
Mkuu kwa mwaka huu sina lonja za military science mara ya mwisho kusikia lonja zao ilikuwa mwaka jana december ndio walianza course, kwahiyo ni either watakuwa washamaliza au wanaelekea kumaliza maana course huwa ni miezi tisa hadi mwaka so sidhani kama wameanza kuita wengine, jaribu kufuatilia hata youtube kama kuna video yoyote ya maafisa wapya walioapishwa mwaka huu ulinzi channel huwa wanapost kila mwaka na kama hawajapost basi itakuwa bado
Military science course miezi 9 ??? Au unachanganya na wale regular?
 
Military science course miezi 9 ??? Au unachanganya na wale regular?
Six(6) Months RTS, then Three(3) Years Monduli(Military Science)...hii ni kwa sasa, lakn miaka ya nyuma hatukua na military science hapa nchini so waliokua wanachaguliwa kutoka mujibu(form six) walienda RTS Kwanzaa then Monduli(course ilichukua miezi tisa mpaka mwaka mmoja).
 
Military science course miezi 9 ??? Au unachanganya na wale regular?
No military science ni miaka mitatu mkuu ila hiyo regular course ndio miezi tisa hadi mwaka, point yangu ilikuwa kumuelezea jamaa kwamba kila mwaka kuna intake ya officer cadets wapya wakiwemo hao military science pamoja na regular, kwahiyo ajaribu kufuatilia intake iliyopita kama kuna waliomaliza hiyo course au bado ili ajue intake nyingine inaingia lini
 
NAJYUZ Jadda Zafrain sag @ Ndege Tai mwenye lonja ya military science mujibu wa mwaka huu anisanue wakuu nini kinaendelea.
Mkuu sipo aware na military science kua kozi ni lini.

Ila last time madogo walipiga usahili Mafinga na Arusha.

Ila waliochaguliwa watapigiwa simu na kuanza kozi soon,Maana almost kozi huwa zinaanza December au November.

Wataanza na RTS then Cadet kule Monduli.
 
Back
Top Bottom