BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,259
- 10,078
Mku@Xmonster chumba tanga mjini master napata kwa bei gani ?Lugha ni ile ile tafuteni connection tu hakuna cha rahisi kabisa sahivi mupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mku@Xmonster chumba tanga mjini master napata kwa bei gani ?Lugha ni ile ile tafuteni connection tu hakuna cha rahisi kabisa sahivi mupo
vipo kwenye maduka yao ila bei sasa,vp umechaguliwa tukupe miongozo mingine ya kuleNaomba niulize swali wakuu, hivi hawa wanaoenda CCP
Vile vifaa walivyoagizwa kama Kwanja na ndoo unaenda nazo kuripoti nazo makao makuu au wanunuliaga huko vifaa vingine?
sio mbaya kubeba but akibeba vingi atayeseka navyo getini akati wa kuingia,yupo wapi yeyeNipe kaka miongozo kuna mwanangu amepata hajui hata moja kuhusu CCP, Hapo yenyewe nimesaidia kumuulizia maana alikuwa anawaza kubeba mindoo mara mikwanja
Mkuu sorry mtu akifanikiwa kumaliza koz CCP mfano ameenda kidato Cha sita anaweza pata promotion ya kwenda nyota kusomea Kwa kidato Cha sita??? Ina chukua muda gan kujiendelez masomo in case uli drop chuosio mbaya kubeba but akibeba vingi atayeseka navyo getini akati wa kuingia,yupo wapi yeye
Mkuu kwahiyo tusibebe mizigo mingi si ndiyo?sio mbaya kubeba but akibeba vingi atayeseka navyo getini akati wa kuingia,yupo wapi yeye
Beba Kwa tahadhar mkuuu ushauri wanguMkuu kwahiyo tusibebe mizigo mingi si ndiyo?
Ndiyo mkuu
Poa poa mkuuBeba Kwa tahadhar mkuuu ushauri wangu
Shusha lonja mkuu za kundi la 43 na millitary scienceNdiyo mkuu
Sina lonja wakuu tofauti na hizo nilizosema hukoh awaliShusha lonja mkuu za kundi la 43 na millitary science
Mzeee hiz umeomba nnShusha lonja mkuu za kundi la 43 na millitary science
01012024Shusha lonja mkuu za kundi la 43 na millitary science
southernboy Sijakuelewa mkuu hiyo tarehe ni Millitary science au kundi la 43 na hiyo tarehe ndo wanaanza kuripoti au ndo kozi inaanza.01012024
Andaa pesa, vitu vingi utapata kule. Otherwise ukiwa na mizigo mikubwa , itakutesa bure. Ni ushauri tu.Mkuu kwahiyo tusibebe mizigo mingi si ndiyo?
Elimu kubwa na muda wa kukaa kazini ndio kutakupeleka kuchukua nyota. Ushauri wangu ukishaingia chomboni jiendeleze kielimu Coz otherwise unaweza jikuta unakaa zaid ya miaka 10 ndio unapata ucoplo au usajentiMkuu sorry mtu akifanikiwa kumaliza koz CCP mfano ameenda kidato Cha sita anaweza pata promotion ya kwenda nyota kusomea Kwa kidato Cha sita??? Ina chukua muda gan kujiendelez masomo in case uli drop chuo
Asante mkuu sorry mtu maybe kaingia akiwa amen drop chuo mwaka wa mwisho akimaliza koz kazini anawez kukaa muda Gani aweze kusomea nyotaElimu kubwa na muda wa kukaa kazini ndio kutakupeleka kuchukua nyota. Ushauri wangu ukishaingia chomboni jiendeleze kielimu Coz otherwise unaweza jikuta unakaa zaid ya miaka 10 ndio unapata ucoplo au usajenti