Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Asante mkuu sorry mtu maybe kaingia akiwa amen drop chuo mwaka wa mwisho akimaliza koz kazini anawez kukaa muda Gani aweze kusomea nyota
Umeingilia six au sjajua kwa polisi nyota ina thamani ya elimu gani lakini ingekuwa jwtz kupata nyota lazima uwe na degree
 
Asante mkuu sorry mtu maybe kaingia akiwa amen drop chuo mwaka wa mwisho akimaliza koz kazini anawez kukaa muda Gani aweze kusomea nyota
Unauliza swali lile lile..umedrop chuo wewe ni form 6. Elimu yako ndio itakupeleka course haraka mzee au kukaa kazini muda mrefu kama elimu yako ni ndogo.
 
Unauliza swali lile lile..umedrop chuo wewe ni form 6. Elimu yako ndio itakupeleka course haraka mzee au kukaa kazini muda mrefu kama elimu yako ni ndogo.
Sorry mkuu sikumalizia nilikuwa na kimeo nafanya .... nimekupata lengo nauliza kazini unatakiwa ukae mwaka baada ya ajira au muda huwa uko vipi mtu ukitaka kwenda kumaliza chuo ulibakisha muda mchache kuhitimu dhumuni la swali langu kujua kama muda maalum baada ya ajira
 
Hivi wakuu hawa watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama, huwa wanaruhusiwa kusafiri nje ya nchi kwa matembezi binafsi wakiwa katika likizo, au ndio ukishaingia humo vyomboni sahau masuala ya kuvuka border kwa minajili ya kutembea tu
Nitaongelea kwa upande wa vyombo vya ulinzi specific JW wenyewe apart na kupewa movement order ya kwenda likizo,Ukitoka nje ya nchi bila ruhusa kutoka makao makuu ni kosa kisheria.So ukitaka kwenda nje ni lazima upate kibali kutoka makao makuu.
 
southernboy Sijakuelewa mkuu hiyo tarehe ni Millitary science au kundi la 43 na hiyo tarehe ndo wanaanza kuripoti au ndo kozi inaanza.
Military science bado hawajaanza kozi,Kule monduli kuna intake moja wanaopiga kozi ya Regular(Mwaka mmoja).
Ambao wapo kwenye six week sahiv wanaingia week ya pili.
 
Sorry mkuu sikumalizia nilikuwa na kimeo nafanya .... nimekupata lengo nauliza kazini unatakiwa ukae mwaka baada ya ajira au muda huwa uko vipi mtu ukitaka kwenda kumaliza chuo ulibakisha muda mchache kuhitimu dhumuni la swali langu kujua kama muda maalum baada ya ajira
Baada ya miaka mitatu,Ila polisi kuna kubaniana kwenda kusoma kuna kuzungushwa so kusoma ukiingia polisi inatakuwa uwe na mtu wa kukusaidia ili uende kusoma kwa wakati.Though kaniambia unaweza kwenda kusoma kimya kimya ukitoka depo so sijajua kivipi!!!
 
Nitaongelea kwa upande wa vyombo vya ulinzi specific JW wenyewe apart na kupewa movement order ya kwenda likizo,Ukitoka nje ya nchi bila ruhusa kutoka makao makuu ni kosa kisheria.So ukitaka kwenda nje ni lazima upate kibali kutoka makao makuu.
Absolutely... Sijajua ishu ya kuwekewa muhuri kikosi cha jirani ulipofikia kama ipo active
Yaan kama umeomba kwenda likizo tabora you go kikosi cha jirani cha tabora unawekewa muhuri kama evidence yakurudi nayo kikosini kwako
 
Oohh okay sawa, na vipi upewaji wa hivyo vibali ni mrahisi, au hadi waamue wao muda wa wewe kusafiri
unaweza ukapata likizo ukaandika mkoa unao enda but ukasafir kimya kimya kwenda huko dubai[emoji23] ila inabidi usipate tatizo lolote. maana hata kwenye movement older ukiandika Mtwara halafu ikatokea umepata ajali ukiwa Mwanza ni kesi nyingine tena
 
Nitaongelea kwa upande wa vyombo vya ulinzi specific JW wenyewe apart na kupewa movement order ya kwenda likizo,Ukitoka nje ya nchi bila ruhusa kutoka makao makuu ni kosa kisheria.So ukitaka kwenda nje ni lazima upate kibali kutoka makao makuu.
Hata polisi pia kuna movement order.
 
Baada ya miaka mitatu,Ila polisi kuna kubaniana kwenda kusoma kuna kuzungushwa so kusoma ukiingia polisi inatakuwa uwe na mtu wa kukusaidia ili uende kusoma kwa wakati.Though kaniambia unaweza kwenda kusoma kimya kimya ukitoka depo so sijajua kivipi!!!
Hapo shukrani San mkuu wangu nimekupata
 
Back
Top Bottom