Son of living God
Member
- Dec 30, 2022
- 12
- 21
Unamaanisha wanaweza ita tena watuPolice nimeskia fununua reserve wanaweza kuongezeka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha wanaweza ita tena watuPolice nimeskia fununua reserve wanaweza kuongezeka
Aisee UT nimepambana nazo muda mrefu wacha na hii awamu nijaribuUT wamepata kibali January wanatangaza ajira haya nj Maneno ya Waziri Masauni akiwa jana TUCTA_UKONGA Kugunga kozi ya uongozi daraja la Pili na uongozi Daraja la juu kwa Maafisa wa Magereza
Wameshatoa nafasi boss?Aisee UT nimepambana nazo muda mrefu wacha na hii awamu nijaribu
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
January waziri alisema kibali tayarWameshatoa nafasi boss?
Shida uhamiaji ndoige nyingi bora ht PT unaweza toboa huko aise ni maji marefuJanuary waziri alisema kibali tayar
Kozi wameanza leo wew jipe moyo....subiri mshati mwakaniPolice nimeskia fununua reserve wanaweza kuongezeka
Sijaisikia hii ila it could be possible and i was expecting that anytime soon, maana kama Military Science wameshaitwa basi kituo kinachofuata obviously ni Msata wale wa RTS, ronja niliyoipata ni kwamba course inaweza anza January au ikichelewa sana basi February so huu ndio muda wa simu na mesejiHuko JW nasikia washaanza kupiga simu..
Nani mwengine aliyesikia hii Lonja?
Zafrain sag
Mwagabona
Jadda
Muda wote toka wa report walikuwa hawaja Anza???? .....Amna siko huko last time nilskia walikuwa porini toka ku report kwaoKozi wameanza leo wew jipe moyo....subiri mshati mwakani
Watu wapo kozi muda huu msata.Simu bado wakuu bogi mwezi wa tatu huko Askari 3elf...kwa mujibu wa vyanzo vyangu vya taarifa
JanuaryUhamiaji wanakuja lini tena?
Mkuu tusichanganye madesa hao ni wa Military science na siyo wale regular rts ambao ndio nafasi huwa elfu 3+Watu wapo kozi muda huu msata.
TAKUKURU NA DCEA wanakuja lini?January
Nimeona insta page yao reheso ya mwishoKesho magereza wanaapa