Kweli chief watufahamisheKaka hizi lonja mtu km mm Leo nakuna ndevu tu maan sielewi apo zinamaanisha nn
Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli chief watufahamisheKaka hizi lonja mtu km mm Leo nakuna ndevu tu maan sielewi apo zinamaanisha nn
Ngoj waje
Tupe lonja mkuu... tuendelee kujifarijiau nitoe lonja nyingine,kuna 320[emoji344] halafukuna 3200+[emoji347][emoji338]
Ha ha haaa sio mchezoKumbe mnavitu na mpo kimya sio
"Working for killers is a sure way of booking a place in hell."Jeshi la polisi Tanzania limetangaza nafasi za kazi, kwa maelekezo zaidi soma[emoji116]
View attachment 1897057View attachment 1897058
Usahili wa juz Kuna mkoa wamechukua form 4 wote division 1 na 2 hakuna 3 wala 4Kwamba wenye madaraja ya chini ya ufaulu ndiyo wanastahili kuwa polisi hapa Tanzania. Kwamba ndiyo hawa hawa wanatakiwa kufanya upelelezi na kuchukua maelezo ya watuhumiwa mbalimbali......aiseeee
Hizo zote ni hisia.Sema hii technique yako nimeikubali yani ulikuwa unataka kujua maslahi ya hivi vyombo ila ukashindwa kuuliza direct, ukaona uzunguke kwa kujifanya unakandia chombo fulani ukijua fika kwamba kuna mtu atakuja tu kutoa ufafanuzi na utapata majibu unayoyataka, anyway usiamini sana kila kinachoandikwa humu mkuu hata mimi sijui maslahi ya hivi vyombo kwa sababu sipo huko mimi nilijiandikia tu
mkuu SGA hapo bado wanachukua watu?Njooni kwenye kazi za ulinzi ama security kazi za kiaskari kazi za lawama kazi za kiume...maisha yanakwemda huku ni mwezi wa tatu toka nizame zangu huku SGA Security...nahudumia wazazi/family kiaina mungu atasaidia mbeleni Mambo yatafunguka zaidi
Maslahi vp ka mkubwamkuu SGA hapo bado wanachukua watu?
Maslahi vp mkuuAjira za serikalini hizi za majeshi nadhani pengine sina bahati nako au ridhki yangu haijaandikwa huko,
Vijana tusichague kazi tusisite kufanya kazi kwa sababu zisizo na mantiki maisha ni popote hasa kwa siye wanaume
Nadhani nikujibu tu kiufupi maslahi ni mazuri ukilinganisha na makampuni mengine ya ulinzi.Maslahi vp mkuu
Mkuu huku kwenye majeshi mengine umesha give up auNadhani nikujibu tu kiufupi maslahi ni mazuri ukilinganisha na makampuni mengine ya ulinzi.
Kampuni za kufanya kazi ambazo maslahi si mabaya sana ni SGA Security na Garda World
hakuna kitu kama hichoHivi kumbe JWTZ kulikuwa na intake inapiga course Oljoro, na wameapa mwezi uliopita, si walisema course za RTS zote sasa hivi ni Msata tu au
Haha nilichanganya kidogo mkuu ila nimeshaconfirm ni kweli ilikuwa last yearMtakuja muuane wakuu na hizo ronja. Intake ya mwisho RTS Oljoro ni ya 41