Son of living God
Member
- Dec 30, 2022
- 12
- 21
Akina nani hao mkuuWatu wa kaunda wamemaliza leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akina nani hao mkuuWatu wa kaunda wamemaliza leo
wamemaliza course au usailiWatu wa kaunda wamemaliza leo
Noma sanaWatu wa kaunda wamemaliza leo
Hizo hazina maslahi boss.Watu wa kaunda wamemaliza leo
Polisi na jwtz ndio kuna maisha nasikia.wanaenda kula maisha hao
Maisha gani? Labda uuuze vifaru na risasiPolisi na jwtz ndio kuna maisha nasikia.
Hata ukiangalia urefu wa kozi boss ni karibu mwaka.Maisha gani? Labda uuuze vifaru na risasi
lete lonja za jwNaona huu uzi ushaingiliwa warzone kwa namna moja au nyingine amefanya kosa moja kubwa la kimkakati kwa kujua au kutokujua.Tuwe makini kuna watu kwenye huu uzi wameshakuja kwa kazi maalumu.Few watakuwa wameliona hilo.
Nchi hii vyombo vya ulinzi na usalama vinavyojitahidi kwenye maslahi ni JWTZ na.
Asante sana jadda.TISS mkuu, urefu wa course siyo hoja sababu ni Polisi pekee ndio course yao ya awali ni mwaka mzima ila wengine wote JWTZ, TISS, Uhamiaji, Magereza, Zimamoto ni miezi sita, scale ya mishahara na posho kwa vyombo vilivyopo chini ya wizara ya mambo ya ndani ni almost inalingana
320 au 330 mmepeleka wap wengine. Hii sio ronja ni taarifaau nitoe lonja nyingine,kuna 320[emoji344] halafukuna 3200+[emoji347][emoji338]
me nlikua najua ni 318 kumbe ni 330[emoji2955]320 au 330 mmepeleka wap wengine. Hii sio ronja ni taarifa
Kumbe mnavitu na mpo kimya siome nlikua najua ni 318 kumbe ni 330[emoji2955]
Madaraja yako ya juu. Hayawasaidii wanasema, halafu mpka leo wanamind kwann tuliwanyima majibu mkuuKwamba wenye madaraja ya chini ya ufaulu ndiyo wanastahili kuwa polisi hapa Tanzania. Kwamba ndiyo hawa hawa wanatakiwa kufanya upelelezi na kuchukua maelezo ya watuhumiwa mbalimbali......aiseeee
Kaka hizi lonja mtu km mm Leo nakuna ndevu tu maan sielewi apo zinamaanisha nnau nitoe lonja nyingine,kuna 320halafukuna 3200+![]()
![]()
![]()