robbinhood
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 526
- 1,524
DahYaaah ni compulsory ... otherwise una connection nzito
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DahYaaah ni compulsory ... otherwise una connection nzito
Jamaaa yangu Jana nilikuwa nae ,mshikaki afisa wa uhamiaji aka mwambia gonga muhuri uwe tofaut wengine muda bahasha uchambukiwa randomly lakin vyema ukawa wa tofaut na wengineWakuu, eti kupiga mihuri vyeti ni lazima kwenye haya maombi ya uhamiaji??
Medical forms hata kwenye website yao hawajaziweka ...Medical form wadau tunaomba
Ahsante kiongozi Niko shamba huku sijaingia online muda ndio najua Leo aiseeAyaa iyo.apo imetoka saiviView attachment 2857011
Cv Ina printiwa......barua ndo inaandikwaMambo yanaendaje wanaharakati
Kuna kipengele cha CV je nayo hii inaandikwa kwa mkono ? Au tunaoprinti ?
Kuwa mtu wa kijani [emoji23]
Formula ya uhamiaji ndio Habari ya mjini Maelekezo mengi mm nimebaki nipambane ugali kwingine maana ndoige haikwepeki Bila Maelekezo hukuWapambanaji wapo kimya au washazama vyomboni
Usikate tamaa jaribu jwtz huwezi jua kesho itakuaFormula ya uhamiaji ndio Habari ya mjini Maelekezo mengi mm nimebaki nipambane ugali kwingine maana ndoige haikwepeki Bila Maelekezo huku
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
huko ndo hata kutangaza hawatangazi bora hao wanaotangaza,na wakitoa tangazo mnakuja kushihudia watu wanamalizaUsikate tamaa jaribu jwtz huwezi jua kesho itakua
Aise jw mambo yao km tiss vile utaskia watu wapo zoezi la porini...., Lini wameenda ndo haielewekihuko ndo hata kutangaza hawatangazi bora hao wanaotangaza,na wakitoa tangazo mnakuja kushihudia watu wanamaliza