Nafasi za kazi shambani Mufindi iringa. Mashamba ya Chai

Nafasi za kazi shambani Mufindi iringa. Mashamba ya Chai

Tena wengi wa dar pale ni buku 4!
Wambieni watu wenye shida na kazi hiyo ni fursa….kulipwa 7000 uko iringa inalipa zaidi kuliko uku dar…..

Watu wenye shida ya kazi na wasio wavivu hiyo ndio fursa sasa

Serikali iingilie kati haiwezekani kumlipa mtu tena kiwandani officially kabisa kwa buku 4 wakati saidia fundi anaondoka na 15 per day.
 
Daily ni 7,000/= mshahara unapewa mwisho wa mwezi au katikati ya mwezi(kama advance ila kama ukitaka). Ila kwa mtu anayechuma kwa juhudi rahisi kuingiza elfu 25 kwa siku maana kuchuma unalipwa kwa kilo zako kulingana na jedwali la bei ya chai kwa kila msimu.

Serikali huwa inapitia kucheki haki za wafanyakazi kama zinatekelezwa ndio maana hata vigezo nilivyoainisha hapo juu hutolewa na mamlaka za serikali
Huna baya
 
Njoo Iringa kwenye machai. Tunza tiketi YA BASI nauli unarudishiwa ukifika.
1.nyumba bure
2.maji ya uhakika

Vigezo
1. Miaka 18+
2. Uwe na NIDA namba au cheti cha kuzaliwa au kadi ya mpiga kura au namba ya NSSF AU leseni ya udereva

Kazi ni kuchuma kipato ni kutokana na juhudi ya uvunaji lakni kuna kazi zingine za utunzaji wa mashamba ambazo ni sh 7,000/= kwa siku. Kazi ni saa moja kamili hadi saa nane mchana.

Kima cha chini cha mshahara ni 179,000/= kwa mwezi ila ukizidisha juhudi basi utapata zaidi ya hapo. Mimi mwenyewe ni shahidi maana nipo humuhumu shambani.
Hakuna rushwa yoyote na kazi uhakika.

Kampuni inaitwa Lipton teas and Infusion zamani Unilever.

Pm me na karibu sana.

Wanahitajika wafanyakazi kwa idadi yoyote hata mkiwa 20 nauli mnarudishiwa.
Niliwah kuishi na kufanya kazi huko..tatizo Kuna radi balaa (sijawahi kuona sehemu watu Wana heshimu dalili za mvua Hadi mvua yenyewe kama huko)...ila nimepakumbuka sana...
 
Niliwah kuishi na kufanya kazi huko..tatizo Kuna radi balaa (sijawahi kuona sehemu watu Wana heshimu dalili za mvua Hadi mvua yenyewe kama huko)...ila nimepakumbuka sana...
Eneo lenye mfadhaiko wa kutosha, watu wanafanyana hadi wanapewa special off wakanywe dawa.
Msalimie shemeji yangu mke wa Sanga kama bado yupo
 
Kama huna mishe, ni nzuri kwenda kujaribu. Kazi hufungua kazi. Wasiwasi wangu tu mtu atoke say bukoba, afike huko hakuna kazi.
 
Mkuu vipi kuhusu suala la msosi unapewa chakula? Nisaidie mawasiliano yako nataka kuja kuanzisha kiwanda changu.

Nimetumia tafsida hapo zamani niliwahi kujidai tajiri hapa jf nafkiri umenielewa hapo kwenye kuanzisha kiwanda
 
MSAADA WA KUFUNGUA PM YANGU SIWEZI KUSOMA WALA KUTUMA SMS nataka kuwasiliana na huyo mtoa post nashindwa au Kama Kuna mtu mwenye mawasiliano yake naomba
 
Kama huna mishe, ni nzuri kwenda kujaribu. Kazi hufungua kazi. Wasiwasi wangu tu mtu atoke say bukoba, afike huko hakuna kazi.
Kazi ni uhakika ndugu yangu. Mashamba yapo ,chai zimechanua na maslahi yenye uhakika yapo
 
N
Kama huna mishe, ni nzuri kwenda kujaribu. Kazi hufungua kazi. Wasiwasi wangu tu mtu atoke say bukoba, afike huko hakuna kazi.
Ndiyo mkuu .hakuna kama kitu kibaya kama mtu kukaa bila kazi. Na kazi ndio kipimo cha kukomaa kiakili.
 
Mkuu vipi kuhusu suala la msosi unapewa chakula? Nisaidie mawasiliano yako nataka kuja kuanzisha kiwanda changu.

Nimetumia tafsida hapo zamani niliwahi kujidai tajiri hapa jf nafkiri umenielewa hapo kwenye kuanzisha kiwanda
Ukini pm ni vizuri sana
 
Back
Top Bottom