Mwiba1
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 1,122
- 2,445
- Thread starter
- #41
Mkuu njoo ofisini acha kuchafua kazi za watu, nilitegemea muulize maswali potential lkn wengi wenu mnawaza kuibiwa tu. Kampuni yangu ni legit na ina ubia na kampuni mbalimbali za ajira ulaya mashariki karibu ofisini masaki, kwa taarifa zaidiIsije kuwa JANGUSHO