Nafasi za kazi truck drivers Lithuania

Nafasi za kazi truck drivers Lithuania

Mkuu

Wakenya tunawapeleka sana tatizo ndugu zetu watanzania ubishi na umaskini umejaa kichwani wanawaza kutapeliwa tu, kwani nimeweka dau hapa??? Office yetu ipo masaki tunalipa zaidi ya dollar 1500 kwa mwezi nije nitapeli makapuku humu, kiufupi wanahitajika madereva na kampuni hii tuna ubia nayo na sisi tunafaidika kulinga na idadi ya madereva tunao wapeleka europe
Kwani mjomba mimi wapi nimesema wewe ni tapeli??? Nimekubali na nshakupigia tumeongea
 
Wale truck drivers wenye kauzoefu kiasi karibuni ofisini kwetu tuwaunganishe mkaendeshe trucks along europe, kampuni iko Lithuania mshahara ni kuanzia euro2300 plus bonus kutakuwa na training ya mwezi mmoja utalipwa kipindi chote cha training.

Vigezo
Leseni daraja CE
Police clearance

Mambo mengine tunaweza kudiscuss 0625965572 au fika ofisini kwetu piga nikuelekeze.

Angalizo
Walau uwe na kauzoefu sio hujui kila kitu.
Madereva wote karibuni.
Utapeli huu tafuuta pesa kwa njia ya halali
 
Kaka nina ubia na kampuni husika sina njaa ndogo ndogo na kama uko interested njoo offisini masaki kupata taarifa kwa undani usipende kupiga kelele, karibu sana
Kwamba nije ofisini Masaki au siyo......Siji kaka na siko interested by the way sina hako kauzoefu.......na sipendi kupigwaaa🤣🤣🤣
 
Utapeli huu tafuuta pesa kwa njia ya halali
Acha kuchafua kazi za watu, kampuni yetu ni legit na imesajiliwa omba address uje upewe mwongozo
 
Kwamba nije ofisini Masaki au siyo......Siji kaka na siko interested by the way sina hako kauzoefu.......na sipendi kupigwaaa🤣🤣🤣
Kama hauna uzoefu basi umeingia uzi usiokuhusu kaangalie mada za umbea pia zipo.
 
Mbona ulaya pa kawaida sana?

Msiwe mnadanganya watu aisee!

Kama watu wakienda ofisini kwake ametoa namba watatoa ushuhuda kuwa ni tapeli,ila kama ni mkweli watasema pia.

Tusubiri tu.
Wakenya tumewapeleka wengi sana tatizo ndugu zetu watanzania hata kama unampango mzuri wa kusaidia vijana bado utaonekana tapeli tu, haya hiyo hapo barua iliyotumwa ofisini kwetu nayo watasema ni uongo. Anyways mwenye anajua anachokipigania atakuja ofisini kuelewa mchongo umekaaje wapiga mdomo wengi hawana vigezo.
 

Attachments

  • Screenshot_20240921-142001_Word.jpg
    Screenshot_20240921-142001_Word.jpg
    922.7 KB · Views: 8
Kama hauna uzoefu basi umeingia uzi usiokuhusu kaangalie mada za umbea pia zipo.
barua kutoka kampuni ya recruitment tuliyo na ubia nayo ni hiyo labda kama unaswala lingine karibu ofisini uelimishwe.
 

Attachments

  • Screenshot_20240921-142001_Word.jpg
    Screenshot_20240921-142001_Word.jpg
    922.7 KB · Views: 10
barua kutoka kampuni ya recruitment tuliyo na ubia nayo ni hiyo labda kama unaswala lingine karibu ofisini uelimishwe.
Mkuu naona ni kweli uko legit sasa mm Nina leseni class D na Nina degree je naweza kuja ofisini ili tufanye mchakato na wakati huo wa kusubiri process nakuta Niko veta kijifunza truck driving.?
 
Mkuu naona ni kweli uko legit sasa mm Nina leseni class D na Nina degree je naweza kuja ofisini ili tufanye mchakato na wakati huo wa kusubiri process nakuta Niko veta kijifunza truck driving.?
Njoo pia kuna michongo ya factories na construction jobs ulaya mashariki so unaweza usifit hii ishu lakni ukapata ishu nyingine
 
Watanganyika ujuaji utawafanya muendelee kuwa wajinga. Unakomalia jamaa ni tapeli wakati hajakutapeli wala hajakuomba chochote kile. Huu ujuaji na mdomo mdomo utawafanya muache mambo ya msingi, inasikitisha sana.
 
Hongera Mkuu kwa kusogeza fursa hizi kwa vijana nyumbani, napendekeza wakati mwingine tangazo lako linaweza kuwa na maelezo zaidi ya kutosha ili kujibu maswali yasiyo ya lazima ambayoo mengi umeyajibu kwenye comment.
 
Back
Top Bottom