Nafasi za kazi truck drivers Lithuania

Kwani mjomba mimi wapi nimesema wewe ni tapeli??? Nimekubali na nshakupigia tumeongea
 
Utapeli huu tafuuta pesa kwa njia ya halali
 
Kaka nina ubia na kampuni husika sina njaa ndogo ndogo na kama uko interested njoo offisini masaki kupata taarifa kwa undani usipende kupiga kelele, karibu sana
Kwamba nije ofisini Masaki au siyo......Siji kaka na siko interested by the way sina hako kauzoefu.......na sipendi kupigwaaa🤣🤣🤣
 
Utapeli huu tafuuta pesa kwa njia ya halali
Acha kuchafua kazi za watu, kampuni yetu ni legit na imesajiliwa omba address uje upewe mwongozo
 
Kwamba nije ofisini Masaki au siyo......Siji kaka na siko interested by the way sina hako kauzoefu.......na sipendi kupigwaaa🤣🤣🤣
Kama hauna uzoefu basi umeingia uzi usiokuhusu kaangalie mada za umbea pia zipo.
 
Mbona ulaya pa kawaida sana?

Msiwe mnadanganya watu aisee!

Kama watu wakienda ofisini kwake ametoa namba watatoa ushuhuda kuwa ni tapeli,ila kama ni mkweli watasema pia.

Tusubiri tu.
Wakenya tumewapeleka wengi sana tatizo ndugu zetu watanzania hata kama unampango mzuri wa kusaidia vijana bado utaonekana tapeli tu, haya hiyo hapo barua iliyotumwa ofisini kwetu nayo watasema ni uongo. Anyways mwenye anajua anachokipigania atakuja ofisini kuelewa mchongo umekaaje wapiga mdomo wengi hawana vigezo.
 

Attachments

  • Screenshot_20240921-142001_Word.jpg
    922.7 KB · Views: 8
Kama hauna uzoefu basi umeingia uzi usiokuhusu kaangalie mada za umbea pia zipo.
barua kutoka kampuni ya recruitment tuliyo na ubia nayo ni hiyo labda kama unaswala lingine karibu ofisini uelimishwe.
 

Attachments

  • Screenshot_20240921-142001_Word.jpg
    922.7 KB · Views: 10
barua kutoka kampuni ya recruitment tuliyo na ubia nayo ni hiyo labda kama unaswala lingine karibu ofisini uelimishwe.
Mkuu naona ni kweli uko legit sasa mm Nina leseni class D na Nina degree je naweza kuja ofisini ili tufanye mchakato na wakati huo wa kusubiri process nakuta Niko veta kijifunza truck driving.?
 
Mkuu naona ni kweli uko legit sasa mm Nina leseni class D na Nina degree je naweza kuja ofisini ili tufanye mchakato na wakati huo wa kusubiri process nakuta Niko veta kijifunza truck driving.?
Njoo pia kuna michongo ya factories na construction jobs ulaya mashariki so unaweza usifit hii ishu lakni ukapata ishu nyingine
 
Watanganyika ujuaji utawafanya muendelee kuwa wajinga. Unakomalia jamaa ni tapeli wakati hajakutapeli wala hajakuomba chochote kile. Huu ujuaji na mdomo mdomo utawafanya muache mambo ya msingi, inasikitisha sana.
 
Hongera Mkuu kwa kusogeza fursa hizi kwa vijana nyumbani, napendekeza wakati mwingine tangazo lako linaweza kuwa na maelezo zaidi ya kutosha ili kujibu maswali yasiyo ya lazima ambayoo mengi umeyajibu kwenye comment.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…