Itakuwa vurugu isiyomothilika, waarabu wanaiunga mkono Iran kwa ajili ya Vita na Israel, bila Israel kuna nchi nyingi za kiarabu zinaichukia Iran... vurugu
Hakuna historia ya nchi ya mashariki ya mbali Kama China kuitawala Dunia, myth inakataa., Wachina ni bahiri kuliko watu wote duniani....Vurugu
China wanataka uchumi na uhusiano na mashariki ya Kati Ila wanauchukia na kuuogopa uislam, wakiwa super power...vurugu
Urusi Ina nguvu kubwa ya kijeshi, lakini zaidi ya hapo haina cha ku offer duniani mf technology, fedha nk, itabakia mikwara mbuzi tu...vurugu
Kinachowaunganisha Urusi, China na Irani ni chuki dhidi ya Israel, nje ya hapo watatwangana makonde hadharani...vurugu
Dunia itashuhudia vurugu ambazo hazijawahi kutokea tangu iumbwe