Nafikiri Israel Itapotezea kulipa Kisasi kwa Iran mpaka imalizane na Hizbola kwanza. Iran itawekwa kiporo kama Hizbola wakati wanashambulia Hamas

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2019
Posts
1,856
Reaction score
2,417
Wakati Israel inashambulia magaidi wa Hamas na Hizbola ilianza kushambulia Israel ili ipoteze lengo
Lakini wakaawacha tangu October 7 Hadi juzi zamu yao ilipofika

Ayatollah akae Kwa kutulia asubiri zamu yake INGAwa Nia na nguvu ya kupigwa ilikuwepo sababu ndo ilikuwa inatafutwa

Kwa Sasa sababu ya Ayatollah kupigwa imepatikana Ila zamu nayo ndo haijafika atulie tu

Angeweza kutuliza mihemko yake ingekuwa faida kwake Ila ndo kashaharibu Sasa

Ina maana kulipa Kisasi kisa Viongozi wa magaidi ameonyesha wazi kwamba yeye ndo baba wa magaidi wa Hamasi na hizbola

Binafsi Nilichojufunza usitolewe kwenye lengo malizana na moja ndo uende lingine
 
akiba haiozi
 
Mbinu za Kivita za Israel za Israel ni Noma
Wakati wanashambulia wasaidizi wa Naslallah
Hakujua angefikiwa
Kiukweli mpaka Sasa sijaamini vizuri yule kiongozi wa magaidi angefikiwa kirahisi vile
Angekimbilia hata Iran baada kuona wasaidizi wake wote wameisha
 
Wacheni story nyingi Israel hawezi hata siku moja kugusa Iran kwa sababu silaha alizo tumia Iran jana sio katika silaha zake 5 kali.

Jifurahisheni tu huko Hezbullah pia hamuwezi, kuhusu ground force wanabeba vilema na maiti. Hezbullah sa hivi kiongozi wao mpya hana huruma kama Nasurlah ataichafua Tela Aviv.

Yemen pia hamuwachi mpaa Israel atainua mikono kakubali masharti ya Hamas
 
Missiles zimetoka Iran, Halafu yeye (Israel)anaenda Lebanon.... ,[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38],,, Hii inaonyesha wazi kuwa Israel anaogopa kupiga direct kule Tehran
 
Ngoja tuone ila lolote linaweza kutokea, maana tuliona Israel akipiga Yemen wakati huo huo anapiga Lebanon na Gaza
 
hata hezbollah walipoona hamas wanapigwa, wakarusha roketi, ili israel ipotee maboya kwa kupigana na hezbollah wakati hamas wanapumua, alichofanya israel, aliendelea na hamas hadi akamalizana nao ndio akahamia hezbollah, jana iran ilipoona israel imeanza askari wa miguu (ground invasion) lebanon wamerusha ili kumpotezea ramani, israel ameendelea kupiga southern Lebanon kama kawaida, akimalizana nao atakuja kwa wahuth na atamaliza na iran. wanataka israel ipigane vita vingi kwa pamoja ili waishambulie kwa pamoja, na israel anaujua huo mtego.
 
Mswahili katika ubora wake na ndio yaleyale ya akina Mohammed Al Sahaf.. subirini kipigo na Netanyahu amesema Iran imefanya kosa kubwa sana.

Let us wait and see.
 
akigusa tu Iran, missiles zote 4000 zinatua Tel Aviv
Iran ni kulipua tu visima vya mafuta na gesi halafu na viwanda vya kutengeneza makombora na drones na basi kazi itakuwa imeisha.

Iran inarudi kwenye zama za mawe na nchi haitakalika, mapinduzi lazima yafanyike ya kuwaondoa hao matapeli wanaojifanya eti wana serikali ya kidini kumbe ni maigizo matupu.
 
Amka mkuu kumekucha utajinyea bure😀
 
Tatizo mnajikuta mna nguvu na mpo sahihi kuliko wengine, ndio maana hoja zenu ni kuwa hakuna mshindwacho
 
Israel wanaakili kuliko wewe,Iran ni nchi tena kubwa sana.
Sasa wewe umeshiba zako ugali mbilimbi unabehuka TU.
Vita hata ukipigana na mtu hana hasta gobole limradi binadamu utahenya tu.
Huyo bwana wenu Marekani tu hapo Iraq na Afghanistan alihenya mpaka sasa anaingia kwenye migogoro kwa kuvizia vizia.
 
Mswahili katika ubora wake na ndio yaleyale ya akina Mohammed Al Sahaf.. subirini kipigo na Netanyahu amesema Iran imefanya kosa kubwa sana.

Let us wait and see.
We ndio wale wanao msubiri Yesu eti atarudi 😄 ndio hio nyimbo yake imefanana na Nyau.

Uliona mchamchaka aliopigishwa jana hahaha
 
Ukishatangaza vita na Myahudi basi elewa wayahudi wapo US, Canada, UK, Nchi zote za Ulaya hasa Ujerumani ma wana maamizi, werevu na matajiri wakubwa.

Tambua kupokea kichapo cha mbwa koko toka kwa washrika hawa na vikwazo vya kiuchumi juu yako.
Stay turned kitakachofuata baada ya mmoja wa wanted ( Iran) kujaa kwenye mfumo juzi
 
Uwongo umekuwa mwingi Israel anasababu ya kusubilia sababu sidhan kama anataka kaangusha utawala w Iran adi asubili yeye kazabwa vibao nayeye akamzabe vibao sisi tushangilie waishimiane kinyume itakuwa Israel mnyonge kwa Iran mana huu mwaka hii mala ya pili Iran anamzaba vibao Israel anasubili nn Netanyahu tumemsikia juzi pale UN akitamba kuwa nguvu anayo sababu anayo na nia anayo y kumtwanga muIran tuambie vyiuma vishatoka kwenda Iran au ndio mapichapicha tusubili yanatengezwa. 🤪🤪🤪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…