Wewe unataka kuniambia nikikamata simu yako mtu unaechati nae ni bahasha wako tu😅 kwamba hamna wale ma cousin ambao mnakulana kimya kimya?Hayo ni mawazo yako tu,yaani ni tabia ya mtu
Si umeona kama kaka mtoa mada,kasema hajawahi mcheat mkewe,,,,na kwasisi wanawake tunakauli yetu pia kuwa hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja.
Hahahahah tena kuwa na wawili ni rahisi kuwamudu kuliko mmoja😅Sasa akikushinda mmoja wawili utawawezea wapi?
Labda kukulana kwa sms siyo live[emoji23]Wewe unataka kuniambia nikikamata simu yako mtu unaechati nae ni bahasha wako tu[emoji28] kwamba hamna wale ma cousin ambao mnakulana kimya kimya?
Mwishowe anajitundikaSasa akikushinda mmoja wawili utawawezea wapi?
Huh!! Kwahiyo walikuvuruga ukavurugika mazima!! Hebu tulia upendwe kenge wewe sio unajifanya bandidu[emoji1787][emoji1787]Hahahahah when i was on my early 20”s i used to love for real mpaka hapo mids nikawa nimejifunza how to be a man to African ladies[emoji28]!
Sahii mie ni mkufunzi!
Mwanamke wa kibongo ambaye hana njaa ya pesa naweza walau nikam trust ila sio Goldiggers ambao wana make 98% ya wanawake wa mjini hapa!
Maana sikiamini kiumbe kiitwacho mwanaume[emoji2442][emoji2442]Hahahahah tena kuwa na wawili ni rahisi kuwamudu kuliko mmoja[emoji28]
Ndiyo maana akili za wanaume wengi hazieleweki vitu wanavyolishwa na wake zao[emoji3][emoji3][emoji3]Hahahahah tena kuwa na wawili ni rahisi kuwamudu kuliko mmoja[emoji28]
Tuliza wenge wewe, sisi ndio mliumbiwa. Usipotukea unataka nani sasa afanye hivyo? Ila usisahau kutafuta sana pesa maana tunazihitaji.Muendelee kutuvumilia tu maana haina jinsi! Mtanisamehe ila uaminifu kwa wanawake wa kibongo ni 2%
Hivi mie nikae kabisa na demu wa kibongo eti nakazana kumkea sijui napoteza pesa we kuonesha kumjali. Mwanamke ambaye nikipangwa kikazi mkoa tofauti ndani ya mwezi mmoja tu lazima awe kashagongwa na wahuni!
Umeona tabu hio? Kwani kwako cheating ni kitandani tu? It all starts from sextingLabda kukulana kwa sms siyo live[emoji23]
Pesa ya kutunza familia kwaujumla. Sasa usipotunza familia yako unataka nani akutunzie?Hahahah kwani tatizo ni hela ya kula jamani? Unahisi mtoa mada hapeleki hela ya kula familia?
Huu ujumbe ungeanza kumpelekea mzee Mwakifumbwe kwanza😅 kabla hujaja kwanguTuliza wenge wewe, sisi ndio mliumbiwa. Usipotukea unataka nani sasa afanye hivyo? Ila usisahau kutafuta sana pesa maana tunazihitaji.
Kuna mdada/mmama wapo wawili nikamuuliza wewe huyo na mke mdogo vipi Mme wenu kasema tukimchachamalia mwenyewe anakaa chini, mwanaume anaingia huku wake zake nao wanasalala huku, sasa si ujinga huo.Hahahahah tena kuwa na wawili ni rahisi kuwamudu kuliko mmoja[emoji28]
Ndio kukosa akili huko sasa, ushindwe kummudu mmoja uweze wawili? Wewe uliona wapi?Hahahahah tena kuwa na wawili ni rahisi kuwamudu kuliko mmoja[emoji28]
Familia inatunzwa vyedi ila mwanamke hatoi unyumba😅 we unahisi tatizo ni la nani hapo?Pesa ya kutunza familia kwaujumla. Sasa usipotunza familia yako unataka nani akutunzie?
Kabla hajajitundika ahakikishe anao urithi wa kutosha wa kuacha sio anatuachia vilio visivyo na faida.Mwishowe anajitundika
[emoji23][emoji23][emoji23] live na sms ipi tata??Umeona tabu hio? Kwani kwako cheating ni kitandani tu? It all starts from sexting
Hahahahah unajua madhara ya kuwa na mmoja wewe? Hata gari ina mguu wa jini kwenye buti! Unafikiri mzungu fala kuweka kile ki piriton kwenye buti 😂😂😂Ndio kukosa akili huko sasa, ushindwe kummudu mmoja uweze wawili? Wewe uliona wapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio nani huyo?Huu ujumbe ungeanza kumpelekea mzee Mwakifumbwe kwanza[emoji28] kabla hujaja kwangu
La mume!! Mkeo anakunyimaje unyumba yaani!! Ndio kukoswa akili huko[emoji1787][emoji1787]Familia inatunzwa vyedi ila mwanamke hatoi unyumba[emoji28] we unahisi tatizo ni la nani hapo?
[emoji23][emoji23][emoji23] kuna Mzee 1 anajisifia kuoa halafu hana hata nyumba anaishi kwa mwanamke halafu anajiita kichwa cha familia, hivi huyu atalalamika mke hampi heshima?Kabla hajajitundika ahakikishe anao urithi wa kutosha wa kuacha sio anatuachia vilio visivyo na faida.