Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Wewe unataka kuniambia nikikamata simu yako mtu unaechati nae ni bahasha wako tu😅 kwamba hamna wale ma cousin ambao mnakulana kimya kimya?Hayo ni mawazo yako tu,yaani ni tabia ya mtu
Si umeona kama kaka mtoa mada,kasema hajawahi mcheat mkewe,,,,na kwasisi wanawake tunakauli yetu pia kuwa hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja.