Nafikiria kufanya maamuzi haya magumu japo naumia sana

Nafikiria kufanya maamuzi haya magumu japo naumia sana

A man has to do what men have to do.Usiondoke wewe ndo baba wafamilia kaa naye ki akili akizubaa mtie mimba nyingine atatulia!Nakumbuka kitabu kimoja cha kiingereza cha zamani sana wakenya wanakijua kulikuwa na mfalme wa kike Wangu wa Makeri alikuwa akiitisha kikao cha wananwake stuli zao ni wanaume kupiga magoti kama Ng'ombe wao wanakaa juu wanapiga umbeya hadi wananaliza wanaenda nyumbani!wanaume wakapata taabu sana,mwisho wakaitisha kikao chao cha faragha wakaulizana wafanyeje.Mwanaume mmoja akatoa wazo la kila mmoja amtie mimba mkewe hiyo ikawa ndio dawa!
 
Dahh sawa nimekusoma lakini ujue hadi sasa ana RB kwamba nilienda kumfanyia fujo ofisini kwake wakati nilienda kuchukua pesa zangu nilizompa week kabla. Sasa kuepuka kesi za hivyo si boda nimsikilizie tu.
kumpiga mke sio solution atajitafutia matatizo bule wala sihafiko ushaur wako, watu wamepiga wake zao matokeo yake wamekufa jamaa kaenda kunyea debe, kwaiyo hata usimpe mawazo ya kumpiga mwanamke kwa maana utakuwa inampotosha mwenzio, ushaur wangu we kaa nae mbali tu sema jitahid sana kumuangalia mtoto, siku zote waswahili wanasemaga kitu ukiwa nacho huoni thamani yake kwaiyo ukijitenga nae mwenyewe akili zitamrudia
 
Wakuu kiufupi nina mke na mtoto mmoja wa miezi 9 sasa. Tumekuwa tunaishi kwa kutegemeana kama mke na mme kwenye mambo mbalimbali. Nilibahatika vibaya kupoteza kazi baada ya kuwa mkataba wangu umeisha mwishoni kwa mwaka jana.

Tangu hapo mke wangu anaonyesha dharau waziwazi. Kiufupi ni dharau ambazo kiukweli chanzo chake ni kupungukiwa kipato japo nafanya bidii za biashara used naingiza pesa kiasi japo sio kama nilivokuwa napata salary. Mke wangu anabiashara yake nimemkuta nayo japo niliingiza pesa kama kutanua biashara iwe kubwa.

Cha kushangaza kafikia hatua hadi baadhi ya pesa nilizompa siku sio nyingi anakatalia ikabidi nimfate ofisini kwake ni chukue alivogoma nika force tukaharibu simu yake akaenda police kunichukulia RB kwamba nimemfanyia fujo japo hawakuja kunikamata na hii ni mara ya tatu kunishtaki kwa mambo ya kipuuzi mara zile mbili alinipeleka kwa mjumbe.

Sina amani na hataki tuachane mfano juzi nikamwambia ngoja nimwachie nyumba au nimtafutie room akae na mwanae mimi nikatafute pesa siku nikipata nitarudi amegoma na hapa tunapoishi kodi imeisha.

Sasa ninafikiria kumtoroka asijue nilikokwenda, najuwa hana hela ya kupanga chumba kwa sasa na hapa tulipo sasa nimesha mwambia mwenye nyumba naondoka. Yaani wakuu kuna madhira kibao hadi nafikiria na kuwaza mambo magumu sana.

Naandika lakini nahisi kama hamtanielewa maana ni mambo magumu sana. Sijawahi kumcheat mke wangu na sina demu mwingine lakini naishi nae ndani kama kaka na dada hata haitaji nimguse.

Ana kiburi kama chote jeuri imezidi hana hekima kabisa sometime hana aibu hata mbele za watu anaweza jibu hovyo tu.

NAMPENDA MWANANGU HIKO NDO KINANIUMA KUMUACHA LAKINI NAHISI NI KIFUNGO KIBAYA SANA KUENDELEA KUISHI NA HUYU MWANAMKE. NADHANI NIKIWA MBALI NAE ANAWEZA ONA UMUHIMU WANGU.

Nimechoka wakuu naomba mawazo uenu pia ikiwa utaguswakunishauri. Hatujafunga ndoa bado ni wachumba najulikana kwao na anajulikana kwetu.

Ahsanteni.

Umekuwa so sweet and too nice to her ndio maana hakuheshimu na kama ukihamua kumuacha awezi kukulazimisha kuendelea nae labda unachotakiwa kusema ni wewe unampenda sana ndio maana una ruhusu haya!

Hivi mwanamke uliyemuoa ana kutesa vipi hivi na kukuburuza buruza kama wewe mjinga mjinga?Hamua leo kukomesha hii tabia na ikiwezekana mchape makofi!
 
Aah wewe huyo ndo ulichemka ,unaweza kuta ulilazimisha tu hakuwa wako,au alikupendea pesa unategemea nn? Ujifungie milango ya kukutana na wanawake wa maana kisa huyo mmoja?
Unaweza ukakutana na mwanamke mpk ukajuta ulichelewa wapi!
Kama wewe eti maana naona kama nawewe ni je.
 
Wakuu kiufupi nina mke na mtoto mmoja wa miezi 9 sasa. Tumekuwa tunaishi kwa kutegemeana kama mke na mme kwenye mambo mbalimbali. Nilibahatika vibaya kupoteza kazi baada ya kuwa mkataba wangu umeisha mwishoni kwa mwaka jana.

Tangu hapo mke wangu anaonyesha dharau waziwazi. Kiufupi ni dharau ambazo kiukweli chanzo chake ni kupungukiwa kipato japo nafanya bidii za biashara used naingiza pesa kiasi japo sio kama nilivokuwa napata salary. Mke wangu anabiashara yake nimemkuta nayo japo niliingiza pesa kama kutanua biashara iwe kubwa.

Cha kushangaza kafikia hatua hadi baadhi ya pesa nilizompa siku sio nyingi anakatalia ikabidi nimfate ofisini kwake ni chukue alivogoma nika force tukaharibu simu yake akaenda police kunichukulia RB kwamba nimemfanyia fujo japo hawakuja kunikamata na hii ni mara ya tatu kunishtaki kwa mambo ya kipuuzi mara zile mbili alinipeleka kwa mjumbe.

Sina amani na hataki tuachane mfano juzi nikamwambia ngoja nimwachie nyumba au nimtafutie room akae na mwanae mimi nikatafute pesa siku nikipata nitarudi amegoma na hapa tunapoishi kodi imeisha.

Sasa ninafikiria kumtoroka asijue nilikokwenda, najuwa hana hela ya kupanga chumba kwa sasa na hapa tulipo sasa nimesha mwambia mwenye nyumba naondoka. Yaani wakuu kuna madhira kibao hadi nafikiria na kuwaza mambo magumu sana.

Naandika lakini nahisi kama hamtanielewa maana ni mambo magumu sana. Sijawahi kumcheat mke wangu na sina demu mwingine lakini naishi nae ndani kama kaka na dada hata haitaji nimguse.

Ana kiburi kama chote jeuri imezidi hana hekima kabisa sometime hana aibu hata mbele za watu anaweza jibu hovyo tu.

NAMPENDA MWANANGU HIKO NDO KINANIUMA KUMUACHA LAKINI NAHISI NI KIFUNGO KIBAYA SANA KUENDELEA KUISHI NA HUYU MWANAMKE. NADHANI NIKIWA MBALI NAE ANAWEZA ONA UMUHIMU WANGU.

Nimechoka wakuu naomba mawazo uenu pia ikiwa utaguswakunishauri. Hatujafunga ndoa bado ni wachumba najulikana kwao na anajulikana kwetu.

Ahsanteni.
Ogopa sana kumchanganya mwanamke na pesa ogopa sana mwanamke akikupendea hela!
 
Sawa mkuu kama halidhiki na hali hii sass hata niiendelea kukaa nae bado nitaishi kwa stress hata kazi zinaingia mikosi mkuu. Nilifikiria kuwa mbali nae kwa muda pengine ataona umuhimu wangu.
Umuhimu wako utaonekana ukiwa na hela mzee kama ambavyo ulianza nae kwa maisha ya matumizi na bata!

Kiufupi huyo ni wale team “lazima mwanaume anihudumie” hao huwa hela ikikata lazma kinuke. Kiufupi mke huna humo mzee.
 
28 years old
Hiyo ni ng’ombe mkuu achana nayo pambana na mishe zikitulia omba umchukue mtoto aheri ameonesha rangi mapema tu. Uzeeni angekumaliza na stress tu!

Kama mwanamke miaka 28 hajielewi kiasi hicho hafai hata kwa kulumangia.
 
Jamaa mnyonge sana,kuna ndoa zinakufa sababu ya unyonge wa mwanaume,wanawake wa kiafrika wengi wanapenda rude boys
Wanapenda wababe in real sense ila wanyonge huwa wanasifiwa mdomoni tu kwa kigezo cha jentomen and caring! Ila mambo kwa ground ni kuzaba kofi akileta ujinga
 
Story ya upande mmoja, ukute wewe ndio jipu sasa unatafuta justification ya kukimbia majukumu yako. Ndio zenu, halafu baadae mtasema watoto wamelishwa sumu na mama zao.
Acha mawenge hapo tatizo ina maana hujaliona tu mpaka sasa? Hela hakuna aisee wala huyo mke hasingiziwi😂 tabia zenu za kupenda huduma badala ya mtu ndio zinaletaga utata kwenye mazingira ya mtoa huduma mirija ya hela ikikata.
 
Dah! Umenikumbusha mwaka jana ndugu yangu aliugua korona! Tulivyofika hospitali kumuona mke wake bila hata hofu aliropoka “ yaani nimemuomba mungu amchukue kuliko anavyoteseka”
Tulistaajabu
Huyo ndio mwanamke
 
Acha mawenge hapo tatizo ina maana hujaliona tu mpaka sasa? Hela hakuna aisee wala huyo mke hasingiziwi[emoji23] tabia zenu za kupenda huduma badala ya mtu ndio zinaletaga utata kwenye mazingira ya mtoa huduma mirija ya hela ikikata.
Tunawapenda ninyi ila hatuwezi kuwala, kwahiyo sisi sio tatizo tatizo ni nature[emoji12]
 
Pesa zimekwisha. Anaonekana ndio waleee wazee wa kutumia hela.
Wanawake hawa kila tukiwaambia tumieni akili msitangulize pesa mbele mnatukejeligi!

Mwanamke mpe pesaaa!!! Kmmmmk hii ndio majibu yake, ukitaka kumkeep mwanamke kwa kumpa mpa hela hakikisha una hela kama bahkressa ambazo hazina ukomo. Sio umeajiriwa kwa muhindi unavuta slay queen unapambana umfuge na kumzalisha siku kazi ikiisha anakuua na presha kmmmk!
 
Back
Top Bottom