Nafikiria kufanya maamuzi haya magumu japo naumia sana

Nafikiria kufanya maamuzi haya magumu japo naumia sana

Pole mkuu...japo nauona utoto kwako...unajiita handsome..hata kama.

Ushauri wangu ni mdogo tu.
1. Lipa kodi ndipo uondoke, ukiwatoroka hutofanikiwa kamwe uendapo.
2. Usiondoke kwa kashfa na kejeli.
Mwite mkeo na mwanao na uwaambie;
-mke wangu ninakupenda sana sana japo
ninasikitika kuwa hali yangu ngumu imeondoa furaha yetu.
-kwa hali hii inanibidi nikajaribu maisha kwingine, naomba umlee mtoto kwa upendo wote, nikifanikiwa huko nitawakumbuka mke wangu.

Mkuu hata kama umekusudia kumwacha kwa siri lakini kwa maneno haya atakuwa anakutakia heri na ufanikiwe skijua ukifanikiwa amefanikiwa...usiondoke mke akilia hutofanikiwa uendako.
Usitumie maneno makali kwa mwanamke...bora unyamaze.
Hawa viumbe wakilia wananyonya baraka zetu
Mwanaume aliyekamilika hawezi kutoa siri ya aendako kabla hajafika...Believe me ,She will ruin all his plans.Ikishachukua maamuzi unatakiwa umshirikishe Mungu tu akuongoze huko uendako na YEYE ndie anaeijua nia na dhamira yako kuwa hujaitelekeza familia bali umeenda kutafuta maisha katika njia zake ili uje uitunze familia. Kumbuka mwanzo alishasema kuwa mwanamke hataki kumruhusu ahame sembuse amwambie anasepa kwenda kutafuta maisha?
 
Wakuu kiufupi nina mke na mtoto mmoja wa miezi 9 sasa. Tumekuwa tunaishi kwa kutegemeana kama mke na mme kwenye mambo mbalimbali. Nilibahatika vibaya kupoteza kazi baada ya kuwa mkataba wangu umeisha mwishoni kwa mwaka jana.

Tangu hapo mke wangu anaonyesha dharau waziwazi. Kiufupi ni dharau ambazo kiukweli chanzo chake ni kupungukiwa kipato japo nafanya bidii za biashara used naingiza pesa kiasi japo sio kama nilivokuwa napata salary. Mke wangu anabiashara yake nimemkuta nayo japo niliingiza pesa kama kutanua biashara iwe kubwa.

Cha kushangaza kafikia hatua hadi baadhi ya pesa nilizompa siku sio nyingi anakatalia ikabidi nimfate ofisini kwake ni chukue alivogoma nika force tukaharibu simu yake akaenda police kunichukulia RB kwamba nimemfanyia fujo japo hawakuja kunikamata na hii ni mara ya tatu kunishtaki kwa mambo ya kipuuzi mara zile mbili alinipeleka kwa mjumbe.

Sina amani na hataki tuachane mfano juzi nikamwambia ngoja nimwachie nyumba au nimtafutie room akae na mwanae mimi nikatafute pesa siku nikipata nitarudi amegoma na hapa tunapoishi kodi imeisha.

Sasa ninafikiria kumtoroka asijue nilikokwenda, najuwa hana hela ya kupanga chumba kwa sasa na hapa tulipo sasa nimesha mwambia mwenye nyumba naondoka. Yaani wakuu kuna madhira kibao hadi nafikiria na kuwaza mambo magumu sana.

Naandika lakini nahisi kama hamtanielewa maana ni mambo magumu sana. Sijawahi kumcheat mke wangu na sina demu mwingine lakini naishi nae ndani kama kaka na dada hata haitaji nimguse.

Ana kiburi kama chote jeuri imezidi hana hekima kabisa sometime hana aibu hata mbele za watu anaweza jibu hovyo tu.

NAMPENDA MWANANGU HIKO NDO KINANIUMA KUMUACHA LAKINI NAHISI NI KIFUNGO KIBAYA SANA KUENDELEA KUISHI NA HUYU MWANAMKE. NADHANI NIKIWA MBALI NAE ANAWEZA ONA UMUHIMU WANGU.

Nimechoka wakuu naomba mawazo uenu pia ikiwa utaguswakunishauri. Hatujafunga ndoa bado ni wachumba najulikana kwao na anajulikana kwetu.

Ahsanteni.
Aiseeeh ndoa yaaan wanawake kwakweli sina cha kusema zaidi ya pole maana na Mimi sijui ntaponaje maana nipo kwenye kutengana aka kuachana na mwanamke niliyefunga nae ndoa na kuazaa nae watoto
 
Aiseeeh ndoa yaaan wanawake kwakweli sina cha kusema zaidi ya pole maana na Mimi sijui ntaponaje maana nipo kwenye kutengana aka kuachana na mwanamke niliyefunga nae ndoa na kuazaa nae watoto
Pole mkuu
 
Mtu ninayelala nae anipeleke polisi kisa tu nimetaka hela yangu au viugomvi kidogo??!!...aloooo!!!

Hii huruma kwa watoto itatuua wanaume..tafuta hela fanya namna ya kumsaidia mtoto..mama mtu akileta ujuaji mwachie huyo mtoto,tuone atafanyaje nae...Wewe ukiwa sehemu ambayo hajui ni wapi.

Kama hataki tu mtengane na vitimbwi vyote hivyo ina maana anajua una umuhimu kwake.
 
Mtu ninayelala nae anipeleke polisi kisa tu nimetaka hela yangu au viugomvi kidogo??!!...aloooo!!!

Hii huruma kwa watoto itatuua wanaume..tafuta hela fanya namna ya kumsaidia mtoto..mama mtu akileta ujuaji mwachie huyo mtoto,tuone atafanyaje nae...Wewe ukiwa sehemu ambayo hajui ni wapi.

Kama hataki tu mtengane na vitimbwi vyote hivyo ina maana anajua una umuhimu kwake.
Huyu ni pressure ya maisha na ushauri wa ndugu zake ni unamsumbua mkuu lakini sio kwamba hanitaki ananitaka sana leo na kesho na mm nataka niwe mbali aonje joto la kunimiss anaweza kujigunza.
 
Hahaha sijaalog in muda mrefu ila comment yako umenifanya niingie.kiufupi unachosema ndio ilivyo. Sisi wanawake tunapenda kaukatili kiasi.hahaha.sio nikikutisha unaogopa.sio akapige kama mbwa mwizi achanganye na za mbayuwayu.ndo mana wanaume hardcore (sio wakorifi )ni hardly kukuta ndoa zao zinavunjika ukilinganisha na hawa wa telemundo
Ukiondoka tu kuna njemba itamfadhili na kula mzigo,usiondoke ila kuwa mkatili piga màkofi ya maana mpaka masikio yazibe,akikunyima penzi piga chukua mkanda wa suruali chapa sukumia nje funga mlango alale nje,usilete ulokole kwenye mapenzi,nasema usiondoke bali kuwa mkatili hadi akikuona moyo unaenda mbio kwa woga,tembeza kichapo,
 
Wakuu kiufupi nina mke na mtoto mmoja wa miezi 9 sasa. Tumekuwa tunaishi kwa kutegemeana kama mke na mme kwenye mambo mbalimbali. Nilibahatika vibaya kupoteza kazi baada ya kuwa mkataba wangu umeisha mwishoni kwa mwaka jana.

Tangu hapo mke wangu anaonyesha dharau waziwazi. Kiufupi ni dharau ambazo kiukweli chanzo chake ni kupungukiwa kipato japo nafanya bidii za biashara used naingiza pesa kiasi japo sio kama nilivokuwa napata salary. Mke wangu anabiashara yake nimemkuta nayo japo niliingiza pesa kama kutanua biashara iwe kubwa.

Cha kushangaza kafikia hatua hadi baadhi ya pesa nilizompa siku sio nyingi anakatalia ikabidi nimfate ofisini kwake ni chukue alivogoma nika force tukaharibu simu yake akaenda police kunichukulia RB kwamba nimemfanyia fujo japo hawakuja kunikamata na hii ni mara ya tatu kunishtaki kwa mambo ya kipuuzi mara zile mbili alinipeleka kwa mjumbe.

Sina amani na hataki tuachane mfano juzi nikamwambia ngoja nimwachie nyumba au nimtafutie room akae na mwanae mimi nikatafute pesa siku nikipata nitarudi amegoma na hapa tunapoishi kodi imeisha.

Sasa ninafikiria kumtoroka asijue nilikokwenda, najuwa hana hela ya kupanga chumba kwa sasa na hapa tulipo sasa nimesha mwambia mwenye nyumba naondoka. Yaani wakuu kuna madhira kibao hadi nafikiria na kuwaza mambo magumu sana.

Naandika lakini nahisi kama hamtanielewa maana ni mambo magumu sana. Sijawahi kumcheat mke wangu na sina demu mwingine lakini naishi nae ndani kama kaka na dada hata haitaji nimguse.

Ana kiburi kama chote jeuri imezidi hana hekima kabisa sometime hana aibu hata mbele za watu anaweza jibu hovyo tu.

NAMPENDA MWANANGU HIKO NDO KINANIUMA KUMUACHA LAKINI NAHISI NI KIFUNGO KIBAYA SANA KUENDELEA KUISHI NA HUYU MWANAMKE. NADHANI NIKIWA MBALI NAE ANAWEZA ONA UMUHIMU WANGU.

Nimechoka wakuu naomba mawazo uenu pia ikiwa utaguswakunishauri. Hatujafunga ndoa bado ni wachumba najulikana kwao na anajulikana kwetu.

Ahsanteni.
Hasa unasubiri nn kuondoka?
Halafu ashindwe kulipa Kodi king vipi wakati ana hiyo biashara hapo?
Acha ujinga ww
 
Yes huwezo hana maana mzunguko wa biashara yake nao unalegalega na matumizi ya hovyo hovyo na pia anatakiwa pia alipe pango la frame
Matumizi ya hovyohovyo wakati anaona hali imebadirika na we huna kazi?
Mungu akusaidie
 
Kesi za mahusiano polisi hawazipi uzito,hata hao polisi wanatandika wake zao,sanasana mtapelekwa dawati la jinsia,usiogope kulala ndani siku moja,we leo mpe makofi utaniambia kesho atakuwa na adabu
[emoji23][emoji23]
 
Kazi ipo yaani. Hizi ndoa hizi basi tu.

Ina maana wakati wa courtship mpaka uchumba hukuona dalili zo zote kuhusu hizi tabia zake mbaya? Au uliziona ukapuuzia ukidhani kuwa ukimtia ndani zitarekebishika? Yaani umepoteza kibarua mwaka jana tu na tayari moto unakuwakia? Hata ubinadamu japo kidogo hamna? Vipi ukiumwa uwe wa kugeuza kitandani?

Sorry but sidhani kama una mke hapo aisee; na ukiamua kubaki naye huko mbele ya safari jiandae kwa magumu zaidi ya haya na hakikisha huishiwi pesa wala kuugua. Na uzeeni ujipange hasa!

Pole sana!
Imagine ni mwezi 1 tangu apoteze kazi?
This s too much aisee
 
Mkuu baadhi ya wanawake wanaharibu radha ya ndoa. Kiukweli nikiachana nae huyu siowi tena.
Aah wewe huyo ndo ulichemka ,unaweza kuta ulilazimisha tu hakuwa wako,au alikupendea pesa unategemea nn? Ujifungie milango ya kukutana na wanawake wa maana kisa huyo mmoja?
Unaweza ukakutana na mwanamke mpk ukajuta ulichelewa wapi!
 
Sawa mkuu kama halidhiki na hali hii sass hata niiendelea kukaa nae bado nitaishi kwa stress hata kazi zinaingia mikosi mkuu. Nilifikiria kuwa mbali nae kwa muda pengine ataona umuhimu wangu.
Huyo mwanamke hakufai mkuu,Kuna mwaka nilipitia Kama yako,nilikonda balaa, nikampiga chini yule shetani,maisha yakaenda vizuri tu, na mtoto now namsomesha shule ya boarding, afya imeimarika Kama yote ,

Piga chini huyo Ni shetani,
 
Ndiyo tunajulikana mkuu nimeandika kwenye uzi na kisheria serikalini tayari ni mke sema ndo hivo.
We hutujui wanawake ,ukimuaga katafute pesa,unaweza shangaa akapata mwanaume mwingine na akaolewa vzr ndoa ya kanisani au msikitini na akaishi vzr huko.
Halafu we unabaki eti sioi tena kisa mtu mmoja shauri yako!
Haya mambo kuna wakati huwa tunalazimisha tu watu unakuta hamuendani
 
Mwenyezi Mungu anisaidie maana sina moyo wa huruma na mwanamke katri kiasi hiki. Nina maamuzi ya serikali na kichwa changu ambayo siwezi kuingiliwa na mtu. Ningekuwa nishamwacha siku nyingi.

Halafu wanawake wenye roho ya kaskazini mlimani kule hawafai sana mkuu.
 
Back
Top Bottom