Nafikiria kufanya maamuzi haya magumu japo naumia sana

Nafikiria kufanya maamuzi haya magumu japo naumia sana

Mkuu husiondoke, hivyo vipesa kidogo unavyopata pambana katafute chumba kimoja lipia, mweleze kwakuwa kwa wakati huu fedha sina na hapa kodi imekwisha nimepata chumba kimoja tutahamia huko.

Akikataa wewe tangulia, ongea na mwenye nyumba mweleze mnahama,ita gari pakia mizigo atakufuata.

Akihamia tambua moto utazidi kuwa mkali,wewe husimjali,amka asubuhi nenda shughulini,hakikksha unanua chakula na mahitaji ya mtoto.

Mambo yatakaa sawa, ila kazi unayo,kama kazi ulipoteza mwaka jana tu mwishoni (juzi tu hapa) ameshafikia hapo!!. Mambo yakichelewa kukaa sawa utakinywea kikombe.

[mention]Hendisamu [/mention] kaka kama vipi pita na hi!
 
Hili nalo neno, kuna wanaume wakiwa na pesa wake zao huwafanya kama watu wakawaida, siku naye akiyumba ndiyo anajirudisha kwa mke hapo ndipo majibu yahesabu ya MAGAZIJUTO hujulikana

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeishi nae kwa kumjali kila jema sema nahisi hizi kabila za kaskazini ni shida hasa ukiweka na nature walio nayo.
 
Nimeishi nae kwa kumjali kila jema sema nahisi hizi kabila za kaskazini ni shida hasa ukiweka na nature walio nayo.
Pole sana, ndiyo hivyo yawezekana alifuata kazi na pesa zako, kama vipi tafuta chumba ambacho unauwezo nacho kama atakubali hapo sawa kama bado ondoka kaanze upya wanawake wazuri wapo na wanaume wazuri wapo, kaanze upya, huyo mwenye 28yrs akili yake haina akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu usimlazimishe uamuzi wakuondoka upo sawa ila iwe kweli anakufanyia hivyo , nenda kapambane kwa moyo mmoja Mungu lazima atakupa tu na end of the day atakuja kukupigia magoti.
 
Ila sisi wanaume tutafika mbinguni tumechoka sana hawa viumbe hawana huruma na sisi ...Ee....Mungu naomba moyo wa uvumilivu na hekima ya kuishi na hawa watu....maana unaweza kuta mnafanyiana umafia wa hali ya juu.
Usisahau kuomba na ukatili pia, ni muhimu na lazima uwe nao.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Hili nalo neno, kuna wanaume wakiwa na pesa wake zao huwafanya kama watu wakawaida, siku naye akiyumba ndiyo anajirudisha kwa mke hapo ndipo majibu yahesabu ya MAGAZIJUTO hujulikana

Sent using Jamii Forums mobile app
alafu unakuta mke kabembeleza adi kawa sugu kashazoea kupotezewa ko ata anavomfanyia mtoa mada ye anajua ndo maisha yenyewe halisi
 
alafu unakuta mke kabembeleza adi kawa sugu kashazoea kupotezewa ko ata anavomfanyia mtoa mada ye anajua ndo maisha yenyewe halisi
Mawazo huru ,kwani nashindwa kuchana ukweli kama ninezingua ??? Haujui tulia mkuu.
 
Dah mi mke wangu hana ruhusa ya kunizuia kuchukua chochote hata kama ni mali yake, akinishtaki tunapishana mlangoni. And kuna wadada milioni mia wanatafta ndoa
 
Back
Top Bottom