lwambof07
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 4,643
- 5,335
Duh pole mkuu kwamba kutokuwa na kazi basi ndiyo amebadilika hivyo ghafla sio kwamba alikuwa anatafuta kisingizio mzee ,bora hamjaoana huyo sio mke mzee unafikir ukisepa ndiyo utamkomoa?? Kwa maelezo yako kifupi hakuhitaji unamuita mke halafu unyumba hakupi dah.