Ni mapenzi sio hela, mbona tunao wana maisha yakawaida tu mke katulia kabisa lakini vijana wanashangaa shangaa tu daa mzee anachuma haswaa, unauliza mlikuwa wapi wanalamba midomo tu!Akili yenu si kuhongwa pesa[emoji23] sasa hayo mapenzi au biashara! Hao mababu wanahonga vilaki laki ndio wanawake tulio nao sikuhizi. Completely useless!!!
Sasa unategemeaje uaminifu kwa mtu mwenye njaa njaa? Kuna sababu ya kustay faithful hapo?
Kukosa akili ni subjective, huwezi date na kichaa hilo naamini! Kama njaa ndio zinakuongoza huwezi kaa ukafurahia mapenzi hata siku moja na ni ngumu kuwa na bahasha mmoja.Mapenzi ya dhati tunayo teleeee, ni vile tu nyie hamjiamini na mshajikatia tamaa jumlisha kukosa akili mnahisi ni pesa zenu tunapenda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahhh hicho kichwa che mkewe kimejaa ugoro kabisaa, Yani wanawake sijui huwa tukoje ahhh. Hivi mtu anatoa wapi ujasiri wa kumlaza rumande baba watoto. Hivi hapo hata mzagamuano anampa kweli??Bora umejua tatizo ni mwanamke mwenzenu[emoji28]
Ndio point ya msingi! Mwanamke ktiwa hataki...Kumsikiliza mume hataki sasa hapo mke anakuwaje mke?[emoji23][emoji23]naona umegongelea hapo kwenye kutoa unyumba[emoji41]
Yani moyo una mambo yanatia kichefuchefu sana [emoji23][emoji23][emoji23]Tulizo la moyo halina hela kmmmk hapo show show[emoji28]
Haa haa haa na wanaume je! Tatizo wamefundishwa na wanaumeSasa umeona ilivyo kazi! Wacha kazi iendelee wanawake waaminifu ni 2% ya population ya wanawake wa mjini! The rest are Goldiggers
Ameshakiri kuwa mbunye hajapewa yapata mwezi wa 2 sasa anakula vikumbo tu😅 na amelazwa rumande bila sababu za kuelewekaAhhh hicho kichwa che mkewe kimejaa ugoro kabisaa, Yani wanawake sijui huwa tukoje ahhh. Hivi mtu anatoa wapi ujasiri wa kumlaza rumande baba watoto. Hivi hapo hata mzagamuano anampa kweli??
Hiyo hali halisi ndio akili yenyewe, akumbuke alipokosea arekebishe.Nimekuelezea uhalisia, hizo akili unazoesemea wewe kuwa mtoa mada hana Inashangaza!
Mwanamke kiburi sasa unamfanyaje mwanamke kiburi ambaye kutoa unyumba hataki na unamlisha na kumvesha!?
Muache kupenda hela dada zangu! Pendeni watu kama walivyo ili hata wakifulia iwe rahisi kuvumiliana. Mie naogopa sana wanawake wenye njaanjaa maana maisha hayatabiriki.Yani moyo una mambo yanatia kichefuchefu sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Hana chake hapo akate shauri asikubali kufedheheka kizembe.Ameshakiri kuwa mbunye hajapewa yapata mwezi wa 2 sasa anakula vikumbo tu[emoji28] na amelazwa rumande bila sababu za kueleweka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe shida kuchart basi msitununulie simu,tuwe tunatumia za kwenuAcheni huo utoto! We mwanamke mzuri umependwa tulia kazi kuchat na kina feysal tu! Kenge wewe
Lazima kutakuwa na sababu, kilimpeleka nini pale anajua kabisa hakwenda kuosha vyomboNimekuelezea uhalisia, hizo akili unazoesemea wewe kuwa mtoa mada hana Inashangaza!
Mwanamke kiburi sasa unamfanyaje mwanamke kiburi ambaye kutoa unyumba hataki na unamlisha na kumvesha!?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aaah maisha ndio haya haya bwana!Tulizo la moyo halina hela kmmmk hapo show show[emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa unataka achat na akina nani?Acheni huo utoto! We mwanamke mzuri umependwa tulia kazi kuchat na kina feysal tu! Kenge wewe
Hahahahahha mabayaj jamani! Mbona wakiwa na hela mnakuwa hamuwafikrii namna hio aisee...Wakati una download mawigi ya laki 7 kwa jonijo na kuzunguka na crown mafuta full tank kila wakati na mnalala Ramada kila weekend ya mwisho wa mwezi huwa hamuoni kuwa jamaa ni judgemental?Hiyo hali halisi ndio akili yenyewe, akumbuke alipokosea arekebishe.
Hivi unajua ilivyo kazi na stress kuishi na a broke guy!! Kiiila unachofanya anakihesabu, hata makosa ya kawaida ya kibinadamu anayajudge mwisho wa siku anakuwa a turn off hata genye nae huna. Na ni visiraniii hatari, wana kazi ya kuhesabu tu mabaya.
Haa haaa haa utaacha watu washindwe kulala pressure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikucheza taratiiiibu, eti jamani wasiolewa wakeshe kwa mwamposa na walio olewa nao tukeshe eti waume watulie hiyo haiwezekani kabisa.Sasa why ukahangaike kwa mwamposa wakati na wa mwamposa nae anahangaika huko kivyake!! Wewe tafuta tulizo la moyo then tulia lea watoto wako taratiiiiibu bila kelele wala mbwembwe.
Sasa mnataka tukale polisi?Kukosa akili ni subjective, huwezi date na kichaa hilo naamini! Kama njaa ndio zinakuongoza huwezi kaa ukafurahia mapenzi hata siku moja na ni ngumu kuwa na bahasha mmoja.
Hata mie nashangaa inakuwaje mume ukamshindwa mkeo???Ndio point ya msingi! Mwanamke ktiwa hataki...Kumsikiliza mume hataki sasa hapo mke anakuwaje mke?