Issue sio kupenda swala Ni je unaempenda Yuko tayari kwenda na wewe kwenye hiyo safari?. Mi naona Cha msingi Ni kutumia akili kufanya maamuzi tusikubali kugalagazwa na moyo mpofu.Muache kupenda hela dada zangu! Pendeni watu kama walivyo ili hata wakifulia iwe rahisi kuvumiliana. Mie naogopa sana wanawake wenye njaanjaa maana maisha hayatabiriki.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]huko hakuna kufuata pesa bali tulizo, pesa zipo nyumbani!Tulizo la moyo halina hela kmmmk hapo show show[emoji28]
Achat na Faridi tu bahasha wake anayempenda kwa dhati! Sasa hapo kademu unakuta kana list, Feysal anaomba game dem kashalegeza...,Arshad nae anagongea mtoko weekend..,Samir nae hayuko mbali kaelewa mzigo anachezea kizinga cha 30K.., hapo list inaendelea af unategemea Farid awe ametulia tu anamskilizia mawardat eti ndio mpenzi wake wa maisha![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa unataka achat na akina nani?
Sijui wanaume wa hivi wanakuwa ga was3nge? Sorry nimetukana japo ni wanaume wenzetu ila wanatudhalilisha sana. Mtu analipwa 400K kwa mwezi halafu utasikia anasema; tafuta hela upendwe, kila thread utasikia tafuta hela, yanaboa mno haya mas33nge. Ona mpaka nimetukana sasa.!Wanawake hawa kila tukiwaambia tumieni akili msitangulize pesa mbele mnatukejeligi!
Mwanamke mpe pesaaa!!! Kmmmmk hii ndio majibu yake, ukitaka kumkeep mwanamke kwa kumpa mpa hela hakikisha una hela kama bahkressa ambazo hazina ukomo. Sio umeajiriwa kwa muhindi unavuta slay queen unapambana umfuge na kumzalisha siku kazi ikiisha anakuua na presha kmmmk!
Na simu mmetununulia ngoja tuchart [emoji3][emoji3][emoji3]Acheni huo utoto! We mwanamke mzuri umependwa tulia kazi kuchat na kina feysal tu! Kenge wewe
[emoji23][emoji23][emoji23] haki nmecheka wee kwahyo tukiolewa tukeshe wapi sasaHaa haaa haa utaacha watu washindwe kulala pressure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikucheza taratiiiibu, eti jamani wasiolewa wakeshe kwa mwamposa na walio olewa nao tukeshe eti waume watulie hiyo haiwezekani kabisa.
Haaa haaa haaHapana ni 98% hiyo mbili ndio inatuharibia CV[emoji1787]
Yani inauma sana iphone 12 pro max ulionunua wewe ukiomba demu akutumie picha zake hakutumii ila kuna ndezi ambaye hajui hata bei ya vocha anatumiwa nudes😂Na simu mmetununulia ngoja tuchart [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahahahha mabayaj jamani! Mbona wakiwa na hela mnakuwa hamuwafikrii namna hio aisee...Wakati una download mawigi ya laki 7 kwa jonijo na kuzunguka na crown mafuta full tank kila wakati na mnalala Ramada kila weekend ya mwisho wa mwezi huwa hamuoni kuwa jamaa ni judgemental?
Yani hata akikupiga biti usiongee na simu wakati mpo wote huwa unaitikia yes hubby. Ila siku akifulia tu order anazokupa unahisi kama anakubana na kukunyima uhuru? Muogopeni Mungu aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Millard ayo choko tu sikuhizi nae naona anapost vitu vya hovyo mno! We bongo hii mwanamke uwe nae mmoja sindio utakuwa kila siku unjaza thread za vilio humu.
Mwanamke ambaye ana appreciate mapenzi ni mwanamke wa kizungu tu nyie waganga njaa lazma tupangane kama foleni ya madumu bombani!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]usiniambie!!Achat na Faridi tu bahasha wake anayempenda kwa dhati! Sasa hapo kademu unakuta kana list, Feysal anaomba game dem kashalegeza...,Arshad nae anagongea mtoko weekend..,Samir nae hayuko mbali kaelewa mzigo anachezea kizinga cha 30K.., hapo list inaendelea af unategemea Farid awe ametulia tu anamskilizia mawardat eti ndio mpenzi wake wa maisha!
Mtu anakaza eti anataka kumfuga slay kwini😅 anakopa anamnunulia iphone 12 pro max ili aendane na wakati! Demu anamuona kolo tu mwisho anaanza kupigwa na wahuni ambao hawatoi hata ya pediSijui wanaume wa hivi wanakuwa ga was3nge? Sorry nimetukana japo ni wanaume wenzetu ila wanatudhalilisha sana. Mtu analipwa 400K kwa mwezi halafu utasikia anasema; tafuta hela upendwe, kila thread utasikia tafuta hela, yanaboa mno haya mas33nge. Ona mpaka nimetukana sasa.!
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aseeYani inauma sana iphone 12 pro max ulionunua wewe ukiomba demu akutumie picha zake hakutumii ila kuna ndezi ambaye hajui hata bei ya vocha anatumiwa nudes[emoji23]
Atulie where, which, how[emoji2369][emoji2369][emoji2369]Haa haaa haa utaacha watu washindwe kulala pressure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikucheza taratiiiibu, eti jamani wasiolewa wakeshe kwa mwamposa na walio olewa nao tukeshe eti waume watulie hiyo haiwezekani kabisa.
Hana hasira, anaongea uhalisia. Sio yeye tu! Wengi wanaojielewa huongea uhalisia, umeelewa mganga njaa?![emoji23][emoji23]@Extrovert sijui nani alimpiga na kitu kizito, ako na hasira na sisi balaa[emoji1787][emoji1787]
Si ndio hapo yaani!! Mambo ya ajabu kabisa haya.Hata mie nashangaa inakuwaje mume ukamshindwa mkeo???
Yaani mkeo anakushinda???
Nini maana ya kuwa mwanaume/baba wa family??
Baba si ni nguzo/kichwa cha family inakuwaje uikimbie nyumba yako kisa mke???
Haa haa haa hatareeeKukosa akili ni subjective, huwezi date na kichaa hilo naamini! Kama njaa ndio zinakuongoza huwezi kaa ukafurahia mapenzi hata siku moja na ni ngumu kuwa na bahasha mmoja.
Hapo lazima Faridi atakuwa anapwaya kwenye nafasi yake ndio maana. Wa kulaumiwa ni Faridi, mbona sisi tunatulizana sana[emoji2369]Achat na Faridi tu bahasha wake anayempenda kwa dhati! Sasa hapo kademu unakuta kana list, Feysal anaomba game dem kashalegeza...,Arshad nae anagongea mtoko weekend..,Samir nae hayuko mbali kaelewa mzigo anachezea kizinga cha 30K.., hapo list inaendelea af unategemea Farid awe ametulia tu anamskilizia mawardat eti ndio mpenzi wake wa maisha!
Hahahahahahha kwa muhuni kama mie mke kujaribu huo upuuzi hawezi kamwe sababu anaujua mziki wa Sony Xplod single channel!Hata mie nashangaa inakuwaje mume ukamshindwa mkeo???
Yaani mkeo anakushinda???
Nini maana ya kuwa mwanaume/baba wa family??
Baba si ni nguzo/kichwa cha family inakuwaje uikimbie nyumba yako kisa mke???
You are the man'n', respect!Hahahahah when i was on my early 20”s i used to love for real mpaka hapo mids nikawa nimejifunza how to be a man to African ladies[emoji28]!
Sahii mie ni mkufunzi!
Mwanamke wa kibongo ambaye hana njaa ya pesa naweza walau nikam trust ila sio Goldiggers ambao wana make 98% ya wanawake wa mjini hapa!