Tipstipstor
JF-Expert Member
- Nov 29, 2021
- 1,528
- 3,352
Kweli kabisaWanawake wanashindwa kutuelewa sisi Wanaume...
WANAUME hatuihitaji mapenzi kwao ,bali tunahitaji HESHIMA na UTII. Watuheshimu na tukiwaambia watusikilize na kututii.
Mwanamke akishindwa kukuheshimisha basi jua kuwa SIO mwanamke anaekufaa
Huu ni ushauri wa kipekee.Mkuu ,biashara ulitia pesa lakini bado mke ukimuacha hana uwezo wa kupanga chumba, anyway hakikisha huitesi nafsi yako kwa lolote lile wape taarifa nduguzo wawe ndio wa kupelekea huduma wao kipindi wewe unapambana huko uliko na upatapo mda uwe unarudi kukijulia hali kiumbe chako.Usiondoke kwa kutoa maneno makali ya kujimaliza sana hujui kesho kitakuja kitu gani kumbuka ni mapenzi haya mzee
Aisee nikutajie hadi mtaa?Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu7uuuuuu7uuuuuuuuuuuuuuuuu7uuuuuuuuu7u7uuuuuuuu Kabila gani?
Ulimtoa wapi?
Mnaishi mtaa gani?
Rafiki yake mkubwa ndiye aliyeharibu ndoa yenu.
Trust me
Pole mkuu...japo nauona utoto kwako...unajiita handsome..hata kama.Wakuu kiufupi nina mke na mtoto mmoja wa miezi 9 sasa. Tumekuwa tunaishi kwa kutegemeana kama mke na mme kwenye mambo mbalimbali. Nilibahatika vibaya kupoteza kazi baada ya kuwa mkataba wangu umeisha mwishoni kwa mwaka jana.
Tangu hapo mke wangu anaonyesha dharau waziwazi. Kiufupi ni dharau ambazo kiukweli chanzo chake ni kupungukiwa kipato japo nafanya bidii za biashara used naingiza pesa kiasi japo sio kama nilivokuwa napata salary. Mke wangu anabiashara yake nimemkuta nayo japo niliingiza pesa kama
Ahsanteni.
Poa mkuuPole mkuu...japo nauona utoto kwako...unajiita handsome..hata kama.
Ushauri wangu ni mdogo tu.
1. Lipa kodi ndipo uondoke, ukiwatoroka hutofanikiwa kamwe uendapo.
2. Usiondoke kwa kashfa na kejeli.
Mwite mkeo na mwanao na uwaambie;
-mke wangu ninakupenda sana sana japo
ninasikitika kuwa hali yangu ngumu imeondoa furaha yetu.
-kwa hali hii inanibidi nikajaribu maisha kwingine, naomba umlee mtoto kwa upendo wote, nikifanikiwa huko nitawakumbuka mke wangu.
Mkuu hata kama umekusudia kumwacha kwa siri lakini kwa maneno haya atakuwa anakutakia heri na ufanikiwe skijua ukifanikiwa amefanikiwa...usiondoke mke akilia hutofanikiwa uendako.
Usitumie maneno makali kwa mwanamke...bora unyamaze.
Hawa viumbe wakilia wananyonya baraka zetu
Wakuu kiufupi nina mke na mtoto mmoja wa miezi 9 sasa. Tumekuwa tunaishi kwa kutegemeana kama mke na mme kwenye mambo mbalimbali. Nilibahatika vibaya kupoteza kazi baada ya kuwa mkataba wangu umeisha mwishoni kwa mwaka jana.
Tangu hapo mke wangu anaonyesha dharau waziwazi. Kiufupi ni dharau ambazo kiukweli chanzo chake ni kupungukiwa kipato japo nafanya bidii za
Mkuu baadhi ya wanawake wanaharibu radha ya ndoa. Kiukweli nikiachana nae huyu siowi tena.