Usisahau kuja na ushahidi wa dkt wa milembe ๐๐๐๐Nipo tayari kuwasilisha ushahidi wa daktari. Na wataalamu wa saikolojia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau kuja na ushahidi wa dkt wa milembe ๐๐๐๐Nipo tayari kuwasilisha ushahidi wa daktari. Na wataalamu wa saikolojia.
Hicho chama ambacho hakina uwongozi wa juu kwa sasa?Acha namba ya simu mm wakili ntakusaidia lakin pia hata chama chetu kinaweza kikukuona kwa teuzi mkuu
Huhitaji nipangia ushahidi. Hii ni kesi binafsi ya madai. Nadhani kapimwe akili. Ndio utajua jambo binafsi halipangiwi.Usisahau kuja na ushahidi wa dkt wa milembe ๐๐๐๐
Eti utamshtaki Tundu Lissu, jinga sana wewe, mlienda mkapimpiga Risasi 38 ili afe na hakufa kwa ukuu wa MUNGU wetu, na huyo aliyeagiza auawe ndio kafa yeye.Kutukana najua sana. Nyani haoni kundule. Niishie hapo. Ila mpumbavu uwa anajibu hoja kwa matusi. Hii uonesha uwezo wake wa kufikiri. Asante kwa mdomo wako usiojua kujibu hoja.
Tundu Lissu ni Rais ? Nyie MATAGA hovyo sanaJe weye usukule wako kwa Tundu Lisu unauonaje?
Ujinga unao wewe unae kariri risasi. Hayo hayanihusu na sijayaongelea hapa. mjinga ubwabwaja bila kujua kinachoongelewa.Eti utamshtaki Tundu Lissu,jinga sana wewe,mlienda mkapimpiga Risasi 38 ili afe na hakufa kwa ukuu wa MUNGU wetu,na huyo aliyeagiza auawe ndo kafa yeye.
Mlikuja kwa njia moja mkatawanyika kwa njia Saba.
HAKIKA MUNGU SI MWANADAMU.
Mataga mtakoma mwaka huu,Tuliwaonyosha hamkusikia [emoji32]
Umetoka usingizini. Soma hoja. Si kukariri mataga.Tundu Lissu ni Rais ? Nyie MATAGA hovyo sana
Hebu toka hapa ukalie huko na wenzako, God has finally heard our cryUjinga unao wewe unae kalili risasi. Hayo hayanihusu na sijayaongelea hapa. mjinga ubwabwaja bila kujua kinachoongelewa.
Nitoke hapa niende wapi? Kuwa makini. Mungu ni Mungu wa Upendo si chuki.Hebu toka hapa ukalie huko na wenzako,God has finally heard our cry
Nadhani hujaelewa kilichoandikwa. Tulia tafakari. Ndio maana nikasema naushahidi.sasa mbona kama wewe ndio unasambaza zaidi !
Umegundua kuwa njaaa ndiyo inamsumbua![emoji23][emoji23][emoji23]Acha namba ya simu mm wakili ntakusaidia lakin pia hata chama chetu kinaweza kikukuona kwa teuzi mkuu
Kwahiyo wewe ndiyo msemaji wa serikali kukanusha hizo habari?Tofautisha msiba wa kweli wa ndugu na kuzusha habari za uongo za msiba tena Rais wa nchi. Ndugu akifa nitaarifa halisi si uongo. Ni hakika.
Ni haki yangu si njaaUmegundua kuwa njaaa ndiyo inamsumbua![emoji23][emoji23][emoji23]
Habib Machange si unamfahamu? Wachukue Polisi muende pale ofisini kwake kwani ndiye Mhusika Mkuu. Tena ikiwezekana uende na kile kigazeti chake kama ushahidi.Tofautisha msiba wa kweli wa ndugu na kuzusha habari za uongo za msiba tena Rais wa nchi. Ndugu akifa nitaarifa halisi si uongo. Ni hakika.
Unalazimisha kuteuliwaSina haja ya teuzi. Wabongo tuache kukariri. Si kila mtu anaishi kwa teuzi.
Sasa wewe una ukoo na kiongozi au kujipendekezaSoma uelewe. Sijawahi pewa taarifa za uongo za vifo kwa ndugu zangu. Hata hivyo mambo ya ndugu umalizwa kiukoo ktk vikao. Hapa nimeongelea Rais.