Nafikiria kufungua kesi ya Madai dhidi ya Lissu na Wenzie

Nafikiria kufungua kesi ya Madai dhidi ya Lissu na Wenzie

Kwahiyo wewe ndiyo msemaji wa serikali kukanusha hizo habari?

Je huoni kwa bandiko lako hili tayari unaishushia serikali heshima mbele ya wananchi na unapashwa kushitakiwa?
Wanasheria wananielewa....
 
Wewe unasambaza taarifa hizo kijanja sana. Dola ianze na wewe.

Nilikuwa sijui yanayoendelea kule 'twira', ngoja niende mbio
 
Weka namba ya simu ili iwe rahisi kupata teuzi.
 
Satire. Isn't it? Uzembe kila mahali! Na haya ndiyo makosa ya kuchanganya utaalamu na siasa ndio maana weledi unakosekana kila idara!
 
Back
Top Bottom