Nafikiria kufungua kesi ya Madai dhidi ya Lissu na Wenzie

Nafikiria kufungua kesi ya Madai dhidi ya Lissu na Wenzie

Tabula Rasa kabisa... hii ni tabia ya CCM et-al. Kama yasemwayo dhidi ya huyo unaye mpigania ni ya kweli bora nawe ukamfata. By the way, hiyo sheria inayokupa nguvu ya kufungua kesi kumtetea/ kiwawajibisha hao

". wanaomzushia?" atakuwa kaifuta kwa ubinafsi wake.
 
Lissu katumia haki yake ya kikatiba kuhoji alipo mwajiriwa wetu wa nafasi ya Urais. Sasa sijajua unatumia kifungu gani cha sheria ambacho kinazuia mwananchi kuhoji alipo Rais ili kumshtaki Lissu? Kwenye taarifa ya Lissu hakuna pahali kasema kuwa Rais kafa.
 
Safari hii nitakubandua bila huruma
Kuwa na adabu. Najua kutukana ila nakuheshimu. So jiheshimu. Tusije geuza hapa eneo la matusi
Lissu katumia haki yake ya kikatiba kuhoji alipo mwajiriwa wetu wa nafasi ya urais. Sasa sijajua unatumia kifungu gani cha sheria ambacho kinazuia mwananchi kuhoji alipo rais ili kumshtaki lissu? Kwenye taarifa ya lissu hakuna pahali kasema kuwa rais kafa.
Kuhoji sawa. Ushahidi wa hayo mengine ninao.
 
Kuwa na adabu. Najua kutukana ila nakuheshimu. So jiheshimu. Tusije geuza hapa eneo la matusi

Kuhoji sawa. Ushahidi wa hayo mengine ninao.
Vipi kuhusu waliomzushia Mbowe, John Mrema na profesa Sarungi kuwa wamekufa hadi kuandika gazetini nao utawaunganisha kwenye hiyo kesi, au kunya anye kuku akinya bata kachafua?
 
Kwa mawazo yako haya unamsaidia nani ?! . Ni kweli tu kuwa zaidi ya wiki mbili Mzee haonekani. Lakini pia ni kweli tu kuwa kiongozi wetu ni mtu (binaadamu) anayeweza kupata changamoto .

Tatizo naliona kwa watoa habari wa ikulu . Ambao tangu jambo hili linaanza kuenea nao wamechagua kukaa kimya. Ujue Rais ni kiongozi wa nchi na watu wake. Jambo linalomgusa linagusa watu wake pia, hivyo wanayo haki ya kujua yanayomsibu. So kufanya siasa kali hakuwezi kumsaidia yeyote wa taifa.
 
Vipi kuhusu waliomzushia mbowe, john mrema na profesa sarungi kuwa wamekufa hadi kuandika gazetini nao utawaunganisha kwenye hiyo kesi, au kunya anye kuku akinya bata kachafua?
Waliopata athari wanaweza chukua hatua. Hiyo habari ndo naisikia kwako.
 
Kwa mawazo yako haya unamsaidia nani ?! . Ni kweli tu kuwa zaidi ya wiki mbili Mzee haonekani. Lakini pia ni kweli tu kuwa kiongozi wetu ni mtu (binaadamu) anayeweza kupata changamoto .

Tatizo naliona kwa watoa habari wa ikulu . Ambao tangu jambo hili linaanza kuenea nao wamechagua kukaa kimya. Ujue Rais ni kiongozi wa nchi na watu wake. Jambo linalomgusa linagusa watu wake pia, hivyo wanayo haki ya kujua yanayomsibu. So kufanya siasa kali hakuwezi kumsaidia yeyote wa taifa.
Sijatoa mawazo kumsaidia mtu. Bali kujulisha umma nitachukua hatua za kisheria kwa kuathirika na habari potofu zilizotolewa. Lakini pia nikasema nitaishitaki serikali kwa uzembe. Hivyo ukisoma madai yatakayo wasilishwa na mawakiri ndo utafahamu lengo kuu. Hapa ni kwa ufupi.
 
Lissu katumia haki yake ya kikatiba kuhoji alipo mwajiriwa wetu wa nafasi ya urais. Sasa sijajua unatumia kifungu gani cha sheria ambacho kinazuia mwananchi kuhoji alipo rais ili kumshtaki lissu? Kwenye taarifa ya lissu hakuna pahali kasema kuwa rais kafa.
Nisome Vizuri, sijaongelea Tundu Lissu kuhoji? Naushahidi siwezi weka hapa, ambapo Lissu amehusika kutoa taarifa kadhaa hata vyombo vya kimataifa vimemnukuu kuwa ni Lissu kasema. Achana na kauli ya mwanzo aliyo hoji. Angeishia hapo sawa hakuna tatizo. Ila yaliyoendelea.
 
Ili ionekane kaleta taharuki waseme yupo wapi na ana hali gani atakuwa hatiani ikiwa alivyoonena ni tofauti na uhalisia
 
Waliopata athari wanaweza chukua hatua. Hiyo habari ndo naisikia kwako.

Nisome Vizuri, sijaongelea Tundu Lisu kuhoji? Naushahidi siwezi weka hapa, ambapo lisu amehusika kutoa taarifa kadhaa hata vyombo vya kimataifa vimemnukuu kuwa ni Lisu kasema. Achana na kauli ya mwanzo aliyo hoji. Angeishia hapo sawa hakuna tatizo. Ila yaliyoendelea.
Kabla hujafungua hiyo kesi yako, tueleze basi Rais yuko wapi? ili uwe na uhalali wa kufungua kesi, maana ukifungua kesi bila kuweka wazi alipo Rais utaangukia pua maana utakuwa huna ushahidi wa kusimamia kesi yako
 
CCM ni wa kulaumiwa. Wao ndiyo wamemfanya Lissu awe jinsi alivyo. Kama Lissu asingelipigwa risasi sidhani kama angekuwa anatoa taarifa kama anazozitoa.

Huko Lumumba mjifunze. Acheni kuonea watu na kulemaza watu bila sababu ya msingi. Huyu Lissu ni jini lenu. Mmelitengeneza wenyewe na litawameza wote hadi mtie akili.
 
Nitoke hapa niende wapi? Kuwa makini. Mungu ni Mungu wa Upendo si chuki.
Mungu wa upendo si chuki! ndo mnagundua leo wakati mnamwagia wenzenu risasi mlikuwa hamjui? Au mnataka huruma? Haonewi mtu huruma tutaanza na Buzza halafu haki zingine zitafuata jela ni maweni tanga mtagonga kokoto hadi mwisho wa maisha yenu.
 
Subiri kwanza nae Rais mtarajiwa ataongea muda wowote na husisahau kuongeza jina lake kwenye kesi yako maana ataongea mambo hayohayo
 
Ccm ni wa kulaumiwa. Wao ndiyo wamemfanya Lisu awe jinsi alivyo. Kama Lisu asingelipigwa risasi sidhani kama angekuwa anatoa taarifa kama anazozitoa.

Huko Lumumba mjifunze. Acheni kuonea watu na kulemaza watu bila sababu ya msingi. Huyu Lisu ni jini lenu. Mmelitengeneza wenyewe na litawameza wote hadi mtie akili.
Ndugu yangu. Kutendewa baya si kulipa baya. Kuna wengi walopatwa na mabaya zaidi hata ya Lissu. Hapa duniani kuna mengi. Lakini kama Lissu anawajua kwanini asifungue kesi? Mpaka leo hakuna ajuae alie fanya hicho kitendo. Ni hisia na ushabiki ndo vimetujaa. Nisiende huko hayanihusu yangu ni haya tu.
 
Sijatoa mawazo kumsaidia mtu. Bali kujulisha umma nitachukua hatua za kisheria kwa kuathirika na habari potofu zilizotolewa. Lakini pia nikasema nitaishitaki serikali kwa uzembe. Hivyo ukisoma madai yatakayo wasilishwa na mawakiri ndo utafahamu lengo kuu. Hapa ni kwa ufupi.
Kwa kifupi wewe humuwezi Lissu . Labda muamue kutumia mzinga safari hii .

Bahati mbaya tumeamua kuuchagua u communist. Ambayo haijawahi kuitoa nchi yoyote mrisi. Viongozi wengi tena wakubwa zaidi wameugua kipindi hiki, lakini habari zao hazikuwahi kuwa siri inayochonganisha wananchi. Bali watu walitaarifiwa eg D. Trump, Waziri mkuu wa UK B. Johnson, Waziri mkuu wa Canada nk . Sasa sisi tunataka kujifanya North Korea , HAITUSAIDII
 
Back
Top Bottom