Nafikiria kufungua kesi ya Madai dhidi ya Lissu na Wenzie

Nafikiria kufungua kesi ya Madai dhidi ya Lissu na Wenzie

Swali zuri, ila swala la fedha ni swala binafsi. Naomba nisikujibu katika hili. Asante!
Sawa mkuu, kwa hyo unafungua kesi kwa maslai ya nani? na je unayemfungulia kesi ni RAIA Wa wapi? Wewe kama wewe binafsi utapata faida gani? kwa nini tu usiache serikali ifungue kesi yenyewe kama imeona kuna kosa.
Hiyo hela ya kuweka Wakili so unywee kvant, uachane na maisha ya ukudaukuda.
 
Usiishie hapo pia unatakiwa uwaunganishe na wale waliomzushia kifo Mbowe na Mlema.
 
Sawa mkuu,kwa hyo unafungua kesi kwa maslai ya nani?,na je unayemfungulia kesi ni RAIA Wa wapi?,we kama wewe binafsi utapata faida gani?,kwa nini tu usiache serikali ifungue kesi yenyewe kama imeona kuna kosa.
Hiyo hela ya kuweka Wakili so unywee kvant,uachane na maisha ya ukudaukuda.
Kama umenisoma uzuri, nimeeleza wazi kwanini na fungua kesi. Hivyo utajua maslahi ni yanani. Mie siangalii uraia wake. Sheria inaniruhusu kufungua kesi mahala kokote kwa mujibu wa sheria. Hata sheria za kimataifa zipo bila kuangalia uraia wa muhusika.

Sheria za madai zinaeleza wazi ni nini matokeo ya ufunguzi wa madai, so sihitaji kukueleza faida hii si biashara. Serikali watajijua wao. Mie naongelea athari iliyonipata.

Fedha ipo ili itumike, na inaweza tumika kivyovyote ila tu matumizi hayo yasivunje sheria ya nchi au sheria za kimataifa. Kumbe kudai haki yangu ni ukudaukuda?
Mmmmh! Wanasheria wataona kama ni ukudaukuda au nasimamia haki yangu!
 
Kama umenisoma uzuri, nimeeleza wazi kwanini na fungua kesi. Hivyo utajua maslahi ni yanani. Mie siangalii uraia wake. Sheria inaniruhusu kufungua kesi mahala kokote kwa mujibu wa sheria. Hata sheria za kimataifa zipo bila kuangalia uraia wa muhusika.
Sheria za madai zinaeleza wazi ni nini matokeo ya ufunguzi wa madai, so sihitaji kukueleza faida hii si biashara. Serikali watajijua wao. Mie naongelea athari iliyonipata.
Fedha ipo ili itumike, na inaweza tumika kivyovyote ila tu matumizi hayo yasivunje sheria ya nchi au sheria za kimataifa. Kumbe kudai haki yangu ni ukudaukuda? Mmmmh! Wanasheria wataona kama ni ukudaukuda au nasimamia haki yangu!
Sawa mkuu
 
Chapakazi mkuu utateuliwa tu sio lazima ujifedheheshe
 
Chapakazi mkuu utateuliwa tu sio lazima ujifedheheshe
Hivi wabongo mnaona uteuzi ni deal! Ha ha ha! Ningetaka uteuzi ni kazi ndogo. Sisubiri kupigania haki yangu ndo nionwe. Napenda life staili niliyonayo. Sihitaji zaidi ya hapo.
 
Hata mie bahada kufuatilia mijadala mbali mbali kwenye vyombo hasa mitandao ya kijamii, Bado sijaelewa kitu ila tu nimeona watu wakitaka kujua wapi halipo mtumishi wao,na ni haki yao,rais sio wa ccm bali ni wa wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama

Hivyo binafsi ikifika mda nitawaburuza kurugenzi ya mawasiano ya ikulu, na baadhi ya viongozi kadri wanasheria watakavyo nishauri

Waheshimiwa wanasheria wa nchi hii, nawapenda Sana na nitaomba msahada wenu mda ukifika,mungu awabariki sana
 
Ha ha ha, Sidhani kama Lisu ni mwamba wa sheria. Ila nachojua Lisu ni mwanasheria mzuri. Hivyo kuna wanasheria wengi wazuri Tanzania kama yeye.
Tatizo la lisu amesoma sheria alafu ana kipaji cha sheria on top of that

Hao wengine wamekariri ile ya kufumdishwa na kalamagamba kabugi.
 
Back
Top Bottom