Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mie kwa kweli nimeumia sana, sijui hawa watu walilenga au kkusudia nini?, nitatoa ruhusa kwa wakili wangu awe ktk jopo la mawakili wako,Hii ndo kazi yenyewe
Ukihitaji uthibitisho ni mahakamani. Uthibitisho utolewa mahakamani si hapa.Mkuu unaweza kututhibitishia hapa pasi na shaka yoyote kua hayo aliyosema Lissu sio ya ukweli?.
Sawa mkuu, kesho jumatatu siku ya kazi tunasubiri update ya hiyo kesi isije kua unatishia watu wazima nyau.Ukihitaji uthibitisho ni mahakamani. Uthibitisho utolewa mahakamani si hapa.
Ndugu yangu, kumbuka madai yaweza funguliwa popote pale na wakati wowote ule ufaao. Na nitafungua napo ona pananifaa na panapowezesha mdaiwa wangu kufika!Sawa mkuu, kesho jumatatu siku ya kazi tunasubiri update ya hiyo kesi isije kua unatishia watu wazima nyau.
Tofautisha msiba wa kweli wa ndugu na kuzusha habari za uongo za msiba tena Rais wa nchi. Ndugu akifa nitaarifa halisi si uongo. Ni hakika.
Kila mtu ana utaratibu wa maisha yake.Hivi jamaa hajaenda Leo kanisani?
Wakati Lissu anaropoka hakuwa na Nazi ya kufanya? Ahahahahahahhh!!!Hauna kazi ya kufanya?
Narudia tena hii ndo kazi yenyewe. Nimesema hapo mwanzo.Hauna kazi ya kufanya?
Umesahau tu lakini unatafuta huruma njaa imekukamata mbayaKumbe unatambua sihitaji uteuzi ndo maana sijaweka namba. Asante!
Umeelewa lkn?Kila mtu ana utaratibu wa maisha yake.
"uwa"Kutukana najua sana. Nyani haoni kundule. Niishie hapo. Ila mpumbavu uwa anajibu hoja kwa matusi. Hii uonesha uwezo wake wa kufikiri. Asante kwa mdomo wako usiojua kujibu hoja.
Msahihishwaji usahihishwa! "Kuandika yenyewe".....unadhani ni kiswahili fasaha? ha ha ha! Akili fupi utazama kukosoa kisicho na maana. Hilo tu ndo umeliona. Pole! Unapokosoa jitazame kwanza kabla ya ukosoaji. Heri papasi ni mdudu mwenye akili katika kuishi. Kuliko akili fupi."uwa"
Hata kuandika yenyewe kumbe hujui..wewe wa kumshitaki Lissu kweli? Rudi kwanza shule wewe papasi
Mungu ni wa upendo kwa kweli hapo umenena.wasameheNitoke hapa niende wapi? Kuwa makini. Mungu ni Mungu wa Upendo si chuki.
Upumbavu ni huo unaoudhania weye. Uhuru wangu auwezi zuiwa kwa maneno ya mtu asiye na busara.Dawa ya deni ni kulipa...kufungua kesi za kipumbavu hakufuti deni na badala yake deni laweza kuongezeka maradufu!