Nafikiria kufungua kesi ya Madai dhidi ya Lissu na Wenzie

Nafikiria kufungua kesi ya Madai dhidi ya Lissu na Wenzie

Kwani sisi ni baba zako wadogo mpaka uje utuambie

We fanya ile kitu maini yako inasema haina haja ya kutuletea matangazo mingi kama unahubiri msiba.

WTF
 
Sawa mkuu, kesho jumatatu siku ya kazi tunasubiri update ya hiyo kesi isije kua unatishia watu wazima nyau.
Ndugu yangu, kumbuka madai yaweza funguliwa popote pale na wakati wowote ule ufaao. Na nitafungua napo ona pananifaa na panapowezesha mdaiwa wangu kufika!
 
Kutukana najua sana. Nyani haoni kundule. Niishie hapo. Ila mpumbavu uwa anajibu hoja kwa matusi. Hii uonesha uwezo wake wa kufikiri. Asante kwa mdomo wako usiojua kujibu hoja.
"uwa"
Hata kuandika yenyewe kumbe hujui..wewe wa kumshitaki Lissu kweli? Rudi kwanza shule wewe papasi
 
"uwa"
Hata kuandika yenyewe kumbe hujui..wewe wa kumshitaki Lissu kweli? Rudi kwanza shule wewe papasi
Msahihishwaji usahihishwa! "Kuandika yenyewe".....unadhani ni kiswahili fasaha? ha ha ha! Akili fupi utazama kukosoa kisicho na maana. Hilo tu ndo umeliona. Pole! Unapokosoa jitazame kwanza kabla ya ukosoaji. Heri papasi ni mdudu mwenye akili katika kuishi. Kuliko akili fupi.
 
Dawa ya deni ni kulipa, kufungua kesi za kipumbavu hakufuti deni na badala yake deni laweza kuongezeka maradufu!
 
mwambie ajitokeze ili tumshike vizuri Lissu na uongo wake, maana naogopa katikati ya kesi tukasikia tangazo la kifo utamlipa wewe huyo Lissu. jiridhishe je yupo huyo unayempigania??
 
Dawa ya deni ni kulipa...kufungua kesi za kipumbavu hakufuti deni na badala yake deni laweza kuongezeka maradufu!
Upumbavu ni huo unaoudhania weye. Uhuru wangu auwezi zuiwa kwa maneno ya mtu asiye na busara.
 
Back
Top Bottom