Nafikiria kufungua kesi ya Madai dhidi ya Lissu na Wenzie

Nafikiria kufungua kesi ya Madai dhidi ya Lissu na Wenzie

waooh😊😊 mkuu but kesi zina procedure ndeefu, je umejipanga vizuri kumfungulia kesi huyo nguli wa ubelgiji????😄😄
Nakuelewa mkuu, ni kweli zinaprocedure! Nimeisha kusanya ushahidi na naendelea na taratibu. Nitawaachia wanasheria wangu wafuate taratibu.
 
Hahahahaha hebu nionyeshe KUKURUPUKA kwangu na kuingia humu kuandika upumbavu kama huo wa kwako. Usikimbie ukweli mimi wazazi wangu role models wangu na kitu ambacho nimebarikiwa toka kwao ni siku zote kuusimamia ukweli kama unafurahisha au unaudhi. Ulichoandika hapa ni upumbavu MTUPU. Uwe una tafakari kwa kina badala ya KUKURUPUKA.
Kama kweli wazazi walikufundisha uwezi ukatumia matusi katika hoja. Unachotakiwa ni kujibu hoja. Mbona wengi humu wamepinga kwa hoja au kutoa ushauri. Msomi kama weye uwezi tumia lugha chafu kuwasilisha hoja. Hii inanipa mashaka kidogo na malezi. Ebu nambie upumbavu wa hoja ya kushitaki upo wapi?
Namjua vizuri Tundu Lissu, kwa hoja kama hii anajibu kisheria hawezi tukana. Mtu anae kimbilia lugha za matusi ugomvi wataalamu wanasema anaufupi wa kufikiri. Hivyo anachoona kitamwokoa ni matusi.
Karibu utukane. Tukana sana! Lakini uwezi zuia nia na kusudi langu. Wala kunikatisha tamaa. Ubarikiwe!
 
Matusi yangu unayaona lakini ya jiwe huyasikii wala kuyaona!!! Lini utamfungulia kesi jiwe kwa udhalimu wake.
Kama kweli wazazi walikufundisha uwezi ukatumia matusi katika hoja. Unachotakiwa ni kujibu hoja. Mbona wengi humu wamepinga kwa hoja au kutoa ushauri. Msomi kama weye uwezi tumia lugha chafu kuwasirisha hoja. Hii inanipa mashaka kidogo na malezi. Ebu nambie upumbavu wa hoja ya kushitaki upo wapi?

Namjua vizuri Tundu Lisu, kwa hoja kama hii anajibu kisheria hawezi tukana. Mtu anae kimbilia lugha za matusi ugomvi wataalamu wanasema anaufupi wa kufikiri. Hivyo anachoona kitamwokoa ni matusi.
Karibu utukane. Tukana sana! Lakini uwezi zuia nia na kusudi langu. Wala kunikatisha tamaa. Ubarikiwe!
 
Buku 7 imeingia?
Ha ha ha! Misemo hii watu wamekariri. Hivi watanzania hatuna mawazo mbadala, hata mtu akitoa hoja ukapingana nae kwa hoja mpaka kutumia misemo ambayo nadhani ishapoteza mvuto. Nauza vitumbua hiyo fedha inanitosha.
 
Matusi yangu unayaona lakini ya jiwe huyasikii wala kuyaona!!! Lini utamfungulia kesi jiwe kwa udhalimu wake.

Sasa ndugu yangu unataka kunichonganisha, mie hapa naongelea kinachonihusu. Sheria ya madai inanitaka kuthibitisha damage niliyoipata kwa kile nacho kidai. Sasa hili nitalithibitisha vipi? sheria inataratibu zake.
 
Sheria ina taratibu zake kumfungulia mashtaka jiwe lakini Lissu kila juha ana haki ya kufungua mashtaka dhidi yake.


Sasa ndugu yangu unataka kunichonganisha, mie hapa naongelea kinachonihusu. Sheria ya madai inanitaka kuthibitisha damage niliyoipata kwa kile nacho kidai. Sasa hili nitalithibitisha vipi? sheria inataratibu zake.
 
Lissu keshafulia, ni wakupuuza tu kama wananchi mlivyompuuza mara ya kwanza kwenya maandamano yake ya nchi nzima.


Eti magu liko kuzimu ??😛😛😛😛😛
 
Eti magu liko kuzimu ??😛😛😛😛😛
Vyovyote vile iwe kuzimu ama Duniani,lakini akitoka yeye anakuja mwingine kutoka chama kilikile na wembe ni uleule.
 
Ujuha uliokithiri!
Hawajui dawa ya deni ni kulipa...kwa bahati mbaya awamu hii washamba na limbukeni wametamalaki huku wakiteseka nafsi zao kwa ujuha wao
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
CCM kwa sasa umekuwa uwanja wa fujo Wazee wa madishi yaliyoyumba na Vijana wenye IQ hafifu
 
Back
Top Bottom