Nafikiria kufungua kesi ya Madai dhidi ya Lissu na Wenzie

Nafikiria kufungua kesi ya Madai dhidi ya Lissu na Wenzie

Namheshimu Lisu kweli ni mwanasheria mzuri. Nampenda! Nimekuwa nikifatilia kesi zake toka wakati yupo LEAT ! Ila umahiri wake hauwezi zuia mimi nisidai haki yangu. kelele za chura hazimzuii simba hata chui kunywa maji.
 
Namheshimu Lisu kweli ni mwanasheria mzuri. Nampenda! Nimekuwa nikifatilia kesi zake toka wakati yupo LEAT ! Ila umahiri wake hauwezi zuia mimi nisidai haki yangu. kelele za chura hazimzuii simba hata chui kunywa maji.
I can't u, ila kabla hujafungua kesi pitapita Magogoni chunguliachungulia getini unaweza kumpata mwamba anacheza na wale tausi, ili uanze kukusanya ushahidi Wa kushinda lisu .
 
Tatizo la lisu amesoma sheria alafu ana kipaji cha sheria on top of that.
Hao wengine wamekariri ile ya kufumdishwa na kalamagamb
Sihitaji kutoa kashfa kwa wanasheria nawaheshimu nawatambua, ndo maana kuna umoja wa wanasheria. Tanganyika Law Society, na Lisu alishakuwa Rais wao. Kama Lisu angejua kuwa anaongoza wanasheria walio hivyo kama ulivyotaja. nadhani kusingehitajika kuwepo Chama cha wanasheria. Lisu angetosha Tanzania nzima yeye kama yeye kutokana na maneno yako.
Nacho fahamu Lisu anawaheshimu wanasheria wenzake na ndiyo maana kuna kesi kadhaa wamemwakirisha mahakamani. Na zingine kashirikiana nao. Sijawahi ona Lisu akidharau wanasheria wenzie kwa maneno kama yako.
 
Endelea kufikiria, maana kufikiria sio dhambi. Sijui huyo Lissu utamtoa wapi?
 
Endelea kufikiria Mana kufikiria sio dhambi. Sijui uyo Lisu utamtoa wap
Sifikirii, kwani Lissu ni jini kwamba hakamatiki au ashikiki au haonekaniki. Hata majini ushitakiwa kwa Mungu japo hatuyaoni. Mashekhe na wachungaji na watu waaaminio uweza kufafukuzia mbali kwa amri za mwenyezi Mungu.
Naamini Lisu si muoga wa kushitakiwa. Lissu ni mwanasheria anae jua haki. Hivyo akishitakiwa popote pale atafika kujibu hoja.
 
Kwa sababu Twitter imefungiwa, itakuwa jambo la busara kama ukishea nasi hayo maneno ya Lissu, na nakusihi uwahi hospitali na mahakamani kwa afya na haki yako.
 
Pole kwa taharuki, pia nakupongeza kwa kutaka kufungua kesi.
Lakini unapoenda kufungua kesi usisahau kujumuisha vyombo vya habari vya njee kama, BBC, vile vya kenya, pia usimusahau kigogo kweny hiyo kesi.

Kila la kheri
 
Sihitaji kutoa kashfa kwa wanasheria nawaheshimu nawatambua, ndo maana kuna umoja wa wanasheria. Tanganyika Law Society, na Lisu alishakuwa Rais wao. Kama Lisu angejua kuwa anaongoza wanasheria walio hivyo kama ulivyotaja. nadhani kusingehitajika kuwepo Chama cha wanasheria. Lisu angetosha Tanzania nzima yeye kama yeye kutokana na maneno yako.
Nacho fahamu Lisu anawaheshimu wanasheria wenzake na ndiyo maana kuna kesi kadhaa wamemwakirisha mahakamani. Na zingine kashirikiana nao. Sijawahi ona Lisu akidharau wanasheria wenzie kwa maneno kama yako.
Nisamehe mkuu,haya tutaongea baadae naenda kanisani ibada ya jioni tuna maombi ya kuombea taifa.
 
Pole kwa taharuki, pia nakupongeza kwa kutaka kufungua kesi.
Lakini unapoenda kufungua kesi usisahau kujumuisha vyombo vya habari vya njee kama, BBC, vile vya kenya, pia usimusahau kigogo kweny hiyo kesi.

Kila la kheri
Asante.... wanasheria wanachambua. BBC haogopwi. Tena uzuri mashirika au makampuni ya kimataifa yanazingatia sana haki ya mtu, wenzetu ni waelewa na wanatambua. Si hapa kwetu naongea kufungua madai natukanwa na kushambuliwa. Ndo maana BBC kwenye taarifa yao walisisitiza mtoa taarifa ni Lisu, na wakaeleza Lisu ni nani. Walikuwa najitoa kijanja.
 
Kwa sababu Twitter imefungiwa, itakuwa jambo la busara kama ukishea nasi hayo maneno ya Lissu, na nakusihi uwahi hospitali na mahakamani kwa afya na haki yako.
Duuh! Ushahidi uwa hauwekwi wazi rafiki. Ushahidi utakutwa mahakamani. Hospitali nimekwenda na ushahid wa kiafya na kisaikolojia ninao toka kwa wataalam kwa namna nilivyoathiriwa. Soma vizuri.
 
Mpaka sasa. Mi moyo unaniuma na nimeota taifa kukumbwa na msiba mzito mimi namshitaki lissu ila mpaka nimuone rais wangu kipenzi
 
Sihitaji kutoa kashfa kwa wanasheria nawaheshimu nawatambua, ndo maana kuna umoja wa wanasheria. Tanganyika Law Society, na Lisu alishakuwa Rais wao. Kama Lisu angejua kuwa anaongoza wanasheria walio hivyo kama ulivyotaja. nadhani kusingehitajika kuwepo Chama cha wanasheria. Lisu angetosha Tanzania nzima yeye kama yeye kutokana na maneno yako.
Nacho fahamu Lisu anawaheshimu wanasheria wenzake na ndiyo maana kuna kesi kadhaa wamemwakirisha mahakamani. Na zingine kashirikiana nao. Sijawahi ona Lisu akidharau wanasheria wenzie kwa maneno kama yako.
Mkuu umeongea vizuri, by the way mh Lissu ni mtz na Hana kosa amefanya mpaka Sasa, kwani kuhuliza raia no moja. Yu wapi ni shida, halafu mtu mmoja anakaa kwenye sofa, kiti Cha kuzunguka au kitandani, ukiacha kwenye daladala au gari lake anapost kumshitaki , ni ukosefu wa ADABU, ukiacha kumkosa roho mtakatifu,
Hivi mtoa post, anadhani tz ni yake so far chama chake kipo madarakani, au anaona watz sie mbulula , mmezoea Sana Sasa mbatizaji kupitia yeye Alie juu tutaoneshana makali, kabla ya kufungua kesi YAKO tutakua mbele yake, msitubabaishe, na mungu akaongee nawe, na imekua KWA mtoa post
 
Back
Top Bottom