Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kwanza Kula nyama nyekundu Sana sio salama kiafya ujaribu kununua na dagaa uone itakuaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakula jioni nikirudi job muda mwingi yeye ndo yupo homSi mnakula wote lakini???
ishu apa dem hajui kubajeti. nyama ni mfano mmojawapo tu. sasa mjini apa mwisho mm na yy tutaishia kuolewa nduguyangu.Yaani Mtu kupika nyama 1Kg Ndo aende kwao? Mshukuru Mungu Mkeo Si mchoyo 🙏, Endelea kutafuta Hela
Kama anakuachia vinyango vitatu mrudishe!!!!! Ila kama anakuachia za kutosha mbona yanaongeleka vizuri.nakula jioni nikirudi job muda mwingi yeye ndo yupo hom
Hiyo ni typical symptom ya broken heart,mtu keshavunjika moyo mara nyingi kiasi kwamba kuachana kwake ni jambo la kugusa tu. Mtu kama huyu ndio afunge "pingu za maisha" kweli?Watu wanaona kuzungumza na mtu ni kugumu....kuliko kuachana
Panga bajeti wewe,au mfundishe vile utakavyo ....kwangu mambo ya matumizi yanagusa hatima yangu ya bdae siyachukulii kiraisi kiongoz na huu ni mfano mmojawapo tu
Mrudishe kwao Itilima,nipo Meatu kikazi nitapita hapo kesho kutwa nimchukue
hizo hataki hata kuzisikiaKwanza Kula nyama nyekundu Sana sio salama kiafya ujaribu kununua na dagaa uone itakuaje
Ulirithi kwa nani tabia yako ya uchoyo?Tupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.
Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!
Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu
Ushauri wenu tafadhali.
Umpeleke wapiMrudishe kwao Itilima, nipo Meatu kikazi nitapita hapo kesho kutwa nimchukue
umaskinii mkuu..! kingine ubinafsiii japoo huyo mwanamke nae kiloo ya ngombe kwa siku moja ni nyingi sana ingekuwa KITIMOTOO nisingemlaumuu..Wewe mwenyewe nunua nyama kilo moja, nenda nyumbani igawe mara 4 halafu Mwambie awe anapika robo kilo kwa mlo mmoja.
Vitu vingine ni vya kijinga sana kuomba ushauri unajiabisha.
Vipi POTIAmrudishe kwao hapo Itilima, nipo Meatu nitapitia hapo kesho kutwa wakati narudi zangu Tanganyika
Ajichanganye.. sisi tutamuwekea oda ya mishikaki tuHuyo dawa yake ni kupika viazi au mihogo kutwa nzima
Ndo maaana wanawake wengi skuiz wana vitambiAjichanganye.. sisi tutamuwekea oda ya mishikaki tu