Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana 😂😂😂😂Idea nzuri. Badala ya kupeleka kilo moja we peleka nusu au robo kabisa.
Tatizo akiona nyingi anajisahau inaelekea. Ila ikiwa chache ata balance.
Nakumbuka ata mi nilileta uzungu nikanunua vile vi azam embe vya mia 6 nikanunua katon lote vinakua 24 nikaweka kwenye friji. Aisee kwa siku kuvipiga tano hadi 6 kawaida. Havikumaliza week.
Nikajua kumbe mi natakiwa ninunue tu rejareja, level za kuweka kwenye friji vinywaji bado.
Idadi ya wanawake ombaomba nayo imezidi sana😂Mbona kasi ya wanaume ku mind budget ya misosi inazidi kuongezeka sana😅
Kwanza Kula nyama nyekundu Sana sio salama kiafya ujaribu kununua na dagaa uone itakuaje
Meatu?Mrudishe kwao Itilima, nipo Meatu kikazi nitapita hapo kesho kutwa nimchukue
Wanawake ni kama nature tu coz tumeumbwa kupokea ila mwanaume anafatilia hadi nyanya zitumike ngapi kwenye mboga wala hainogi kwakweli 🤣 maybe anajua kipato cha my wake so nyingine anakaanga wanakula kavu na ugaliIdadi ya wanawake ombaomba nayo imezidi sana😂
Hawalielewi HiloAfu wanaona on ujanja
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Idadi ya wanawake ombaomba nayo imezidi sana😂
Basi huyo ni haki yake kufyekelewa mbali itakuaje siku ukikosa hiyo hela ya kumnunulia nyama? Ataweza kukuvumilia?hizo hataki hata kuzisikia
Nowadays people would rather lose you than fix the situation.Watu wanaona kuzungumza na mtu ni kugumu....kuliko kuachana
Ndiyo nilikuwa hapo Kwa siku mbili kikazi,maswala ya chama Cha mapinduziMeatu?
AahaaaaaaaNowadays people would rather lose you than fix the situation.
uongo,nature ipi inasema wanawake mmeumbwa kupokea!!!nooohWanawake ni kama nature tu coz tumeumbwa kupokea ila mwanaume anafatilia hadi nyanya zitumike ngapi kwenye mboga wala hainogi kwakweli 🤣 maybe anajua kipato cha my wake so nyingine anakaanga wanakula kavu na ugali
Kwetu Tanganyika akale migebuka mpaka apasukeUmpeleke wapi
2 Chainz
Saiv ad madem wa village wanapiga vizinga balaa🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
noma sana mzee, omba-omba kila konaSaiv ad madem wa village wanapiga vizinga balaa
Tupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.
Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!
Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu
Ushauri wenu tafadhali.