Nafikiria kumpiga chini huyu Mwanamke, hajui kuishi kwa bajeti

Nafikiria kumpiga chini huyu Mwanamke, hajui kuishi kwa bajeti

Mbona kasi ya wanaume ku mind budget ya misosi inazidi kuongezeka sana😅
 
Idea nzuri. Badala ya kupeleka kilo moja we peleka nusu au robo kabisa.

Tatizo akiona nyingi anajisahau inaelekea. Ila ikiwa chache ata balance.

Nakumbuka ata mi nilileta uzungu nikanunua vile vi azam embe vya mia 6 nikanunua katon lote vinakua 24 nikaweka kwenye friji. Aisee kwa siku kuvipiga tano hadi 6 kawaida. Havikumaliza week.

Nikajua kumbe mi natakiwa ninunue tu rejareja, level za kuweka kwenye friji vinywaji bado.
Nimecheka sana 😂😂😂😂

Ila huto tujuisi waga tutamu mno🤗
 
Ila una
msimanga ,chakula is just a minor thing, hamna kitu kizuri kama kumlisha mtu akashiba

Mi napenda nile nishibe ndo hua napata mood nzuri

By the way your wife is Foodie, badala ya kuleta nyama kilo try kuleta mboga mbali mbali i think she will love it
 
Idadi ya wanawake ombaomba nayo imezidi sana😂
Wanawake ni kama nature tu coz tumeumbwa kupokea ila mwanaume anafatilia hadi nyanya zitumike ngapi kwenye mboga wala hainogi kwakweli 🤣 maybe anajua kipato cha my wake so nyingine anakaanga wanakula kavu na ugali
 
Tupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.

Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!

Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu

Ushauri wenu tafadhali.

Mlete tumfunde

Asibomoe nyumba yake
 
Ww unasehemu mko wawili jiulize mara mbili humuwez kuwa wawiki bro, kuna kivuli apo kina kutafunia pesa zako hzo unazotoa mna share nae huyo binti, funguka bro
 
Back
Top Bottom