Nafikiria kumpiga chini huyu Mwanamke, hajui kuishi kwa bajeti

Nafikiria kumpiga chini huyu Mwanamke, hajui kuishi kwa bajeti

Chakufanya kama huwa unanunua nyingi labda nyama ya week nzima uwe unaigawa kabisa, unaiweka katika vifuko vya nusu nusu kilo kwa watu wawili inatosha sana.
 
Tupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.

Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!

Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu

Ushauri wenu tafadhali.
Unachelewa sana, fukuza chapuuu
 
Tupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.

Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!

Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu

Tupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.

Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!

Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu

Ushauri wenu tafadhali.
kitu kidogo kama hicho ndio ufikirie kumuacha mke. naomba kujua umri wako kwanza.
 
Mkuu nakuelewa sana,binafsi sipendi pia mtumiaji wa hovyo
Budget ni kila kitu kwenye maisha
Huyo wako inawezekana ndivyo alivyolelewa ama ni wewe umemuonesha unazo za kutumia namna hiyo

Cha kufanya endelea kumuelekeza kuhusu umuhimu wa budget,mwambie hupendezwi na matumizi yake

Kama ataendelea kukaza fuvu unaweza kuchukua maamuzi magumu
Joanah, umeshaolewa? Mbona busara imekujaa hivyo!
 
uongo,nature ipi inasema wanawake mmeumbwa kupokea!!!noooh
Si imeandikwa mtakula kwa jasho? now hata mgeni akija mchana itabidi tuombe ruhusa ya kuongeza budget ili kuepuka kufunguliwa thread 🤣😂
 
Acha tabia za kimaskini. As long as mwanamke sio Malaya, anakuheshimu na anawaheshimu wazazi wako, Ni msafi. What more do you want? Unataka kilo ya nyama muile siku mbili? Wakati ukienda bar unaagiza kitimoto kilo moja na beer juu?
Acha tabia za kipare, mpe mkeo hela ya matumizi akae nayo uone Kama atafanya ujinga.
LAST BUT NOT LEAST. DUNIANI HUWEZI KUPATA MWENZA AMBAYE UTAPENDA SURA YAKE, UMBO LAKE, CHURA YAKE, ELIMU YAKE, KABILA LAKE, UMRI WAKE, UTELEZI WAKE N.K.
haya madogo madogo mtakuja kushangaa tu huko mbeleni mnaendana
Mkabidhi hela ya wiki,yeye aamue anataka kupika nin,Ila kilo moja ya nyama siku moja sio sawa huo sio ulaji bhana
 
Mkabidhi hela ya wiki,yeye aamue anataka kupika nin,Ila kilo moja ya nyama siku moja sio sawa huo sio ulaji bhana
Watu mnataka kuoa malaika wakati wenyewe hamfai hata kua parish worker.
Kwao walizoea hivyo, taratibu atajirekebisha. Haya Mambo humalizwa kwa maongezi tu, sio lazima uanike tabia ya mpendwa wako. Kama ulimpendea tako, unadhani tako linakuja hivi hivi? After all kilo ya nyama Ni sh ngapi? Kwani mnakula nyama kila siku?
Mpe mkeo hela ya wiki na utagundua anajua kutunza pesa kuliko wewe.
 
Tupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.

Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!

Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu

Ushauri wenu tafadhali.

Roho ya kimaskini hiyo ikatae, kama mnakula wenyewe mnamaliza shida iko wqpi? Au anatuma robo kwao Tandahimba kila siku?
 
Tupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.

Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!

Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu

Ushauri wenu tafadhali.

Tafuta hela lakin pia mfundishe kuhusu kubana matumiz, umekutana na spender hataki shida
 
Si imeandikwa mtakula kwa jasho? now hata mgeni akija mchana itabidi tuombe ruhusa ya kuongeza budget ili kuepuka kufunguliwa thread 🤣😂
Imeandikwa wappp😂😂😂 kama bible bas siamin
 
Back
Top Bottom