Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Namsubiria mkuuDah 😁😁😁😁akikujibu nitag
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namsubiria mkuuDah 😁😁😁😁akikujibu nitag
Basi ukikua utaelewa maisha mdogo wangu 😂😂😂25 faza
Amwshanijibu mkuuDah 😁😁😁😁akikujibu nitag
swali la msingiHuyo kilo ya nyama inaishaje, anamwaga inayobaki au mnaila wote kwa siku moja?
Unachelewa sana, fukuza chapuuuTupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.
Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!
Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu
Ushauri wenu tafadhali.
Hawa vijana wa siku hizi uwezo wa kuchanganua mambo Bado ni kitendawili miaka 25 kijijini kwetu ni mtu mwenye kaya yakeAmwshanijibu mkuu
Tupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.
Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!
Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu
kitu kidogo kama hicho ndio ufikirie kumuacha mke. naomba kujua umri wako kwanza.Tupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.
Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!
Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu
Ushauri wenu tafadhali.
Joanah, umeshaolewa? Mbona busara imekujaa hivyo!Mkuu nakuelewa sana,binafsi sipendi pia mtumiaji wa hovyo
Budget ni kila kitu kwenye maisha
Huyo wako inawezekana ndivyo alivyolelewa ama ni wewe umemuonesha unazo za kutumia namna hiyo
Cha kufanya endelea kumuelekeza kuhusu umuhimu wa budget,mwambie hupendezwi na matumizi yake
Kama ataendelea kukaza fuvu unaweza kuchukua maamuzi magumu
Si imeandikwa mtakula kwa jasho? now hata mgeni akija mchana itabidi tuombe ruhusa ya kuongeza budget ili kuepuka kufunguliwa thread 🤣😂uongo,nature ipi inasema wanawake mmeumbwa kupokea!!!noooh
Mkabidhi hela ya wiki,yeye aamue anataka kupika nin,Ila kilo moja ya nyama siku moja sio sawa huo sio ulaji bhanaAcha tabia za kimaskini. As long as mwanamke sio Malaya, anakuheshimu na anawaheshimu wazazi wako, Ni msafi. What more do you want? Unataka kilo ya nyama muile siku mbili? Wakati ukienda bar unaagiza kitimoto kilo moja na beer juu?
Acha tabia za kipare, mpe mkeo hela ya matumizi akae nayo uone Kama atafanya ujinga.
LAST BUT NOT LEAST. DUNIANI HUWEZI KUPATA MWENZA AMBAYE UTAPENDA SURA YAKE, UMBO LAKE, CHURA YAKE, ELIMU YAKE, KABILA LAKE, UMRI WAKE, UTELEZI WAKE N.K.
haya madogo madogo mtakuja kushangaa tu huko mbeleni mnaendana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] wambie vijanaTafuta hela
Watu mnataka kuoa malaika wakati wenyewe hamfai hata kua parish worker.Mkabidhi hela ya wiki,yeye aamue anataka kupika nin,Ila kilo moja ya nyama siku moja sio sawa huo sio ulaji bhana
Taarabu imo?Nioe Mimi mkuu,hakika hutojuta
Tupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.
Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!
Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu
Ushauri wenu tafadhali.
Tupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.
Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!
Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu
Ushauri wenu tafadhali.
Imeandikwa wappp😂😂😂 kama bible bas siaminSi imeandikwa mtakula kwa jasho? now hata mgeni akija mchana itabidi tuombe ruhusa ya kuongeza budget ili kuepuka kufunguliwa thread 🤣😂