Nafikiria kumpiga chini huyu Mwanamke, hajui kuishi kwa bajeti

Nafikiria kumpiga chini huyu Mwanamke, hajui kuishi kwa bajeti

Tunafuata muongozo wa biblia!
Tupeni hela mara kwa mara muone kama tutawaomba.🙄
Mambo ya biblia ukiyafata yote ni hatari kwako


Mfano wa kuoa mke mmoja ni hatari Sana maana wanawake wapo wengi na wanaume waoaji wachache so biblia unabidi kuifanyia amendment
 
Mambo ya biblia ukiyafata yote ni hatari kwako


Mfano wa kuoa mke mmoja ni hatari Sana maana wanawake wapo wengi na wanaume waoaji wachache so biblia unabidi kuifanyia amendment
Hatari kwenu au kwetu???

Tutaunga mkono hoja yale yanayotupendelea tu!!!🤝🏾
 
IMG_20230522_124225.jpg
 
Hiyo ni typical symptom ya broken heart,mtu keshavunjika moyo mara nyingi kiasi kwamba kuachana kwake ni jambo la kugusa tu. Mtu kama huyu ndio afunge "pingu za maisha" kweli?
Pia Kuna hulka ....Kuna watu hawawezi kuwa waumw...,hawawezi kucontrol family
 
Tupo town hapa lakini cha ajabu anaishi kama tupo Itilima, hajui kabisa kuishi kwa bajeti na wala haelekezeki.

Tupo wawili tu mimi na yeye lakini cha ajabu ile kilo ya nyama ya ng'ombe inaisha kwa kutwa moja!

Wakuu hii ni kawaida kweli? Tayari nimefikiria kuchukua maamuzi magumu

Ushauri wenu tafadhali.
Si ulikuwa unampelekaga kwenye kitimoto mnaagiza kilo wawili?
 
Looh kwa hisabati hizo naanza kuwaelewa wale wanaokataa ndoa.
Kumbuka kuwa, kilo moja ya nyama mbichi ikipikwa inapunguwa robo kilo, ukitiwa na inayochapwa na mizani za wauza nyama, ukija kutowa na machalati, unabaki na nusu kilo tu ya nyama inayolika, tena hiyo sijahesabia mifupa.

Kula vizuri nyama kwa uchache ni robo kilo kwa mtu mzima mmoja kwa mlo mmoja.

Mkeo yupo vizuri hapo.
 
Looh kwa hisabati hizo naanza kuwaelewa wale wanaokataa ndoa.
Kumbuka kuwa, kilo moja ya nyama mbichi ikipikwa inapunguwa robo kilo, ukitiwa na inayochapwa na mizani za wauza nyama, ukija kutowa na machalati, unabaki na nusu kilo tu ya nyama inayolika, tena hiyo sijahesabia mifupa.

Kula vizuri nyama kwa uchache ni robo kilo kwa mtu mzima mmoja kwa mlo mmoja.

Mkeo yupo vizuri hapo.
 
Back
Top Bottom